Tunauza magari aina zote

farharu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
527
Reaction score
588
Habari za asubuhi wakuu..Natumaini wote mmeamka salama.
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka hapo juu sisi ni wauzaji wa magari aina zote yaliyotumika japan na yaliyotumika hapa bongo, ofisi zetu zipo Dodoma wajenzi na Dar es salaam kinondoni
Haya ni baadhi ya magari yaliyokuwepo





Hii ni toyota Raum old model bei yake ni shilingi million tatu na nusu3.5








Hii toyota prado tx inayotumia Engine ni 3RZ-fe ambayo bei yake ni 28 mil









Toyota vanguard bei yake ni 20 mil
 








Toyota crown athlete 2005 bei mil 14.5
 









Nissan dualis bei mil 18.5
 
Unayo IST? Kuna mtu ana bajeti ya tsh 6.5mil
 
Unayo IST? Kuna mtu ana bajeti ya tsh 6.5mil

Kwa bei hiyo unaweza kupata namba c au namba d iliyochoka sana au unaweza kubahatisha .. sisi kwa ist tulizonayo ni kuanzia mil 7.5 hadi mil 12
 





gari zote hizo zipo na nyingine nyingi
Nikusema tu wewe gari unayohitaji .. asanteni
 







Toyota hilux for sale 43 milion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…