Bure kivipi,unatumia language gani kutengenezea??domain bei gani
Acha kubabaisha watu hakuna web serious chini ya 1m na hapo host na domain juu ya mteja.vinginevyo utapewa web ya kucustomize template nayo utasimama useme una website.
Sio kila anae soma post yako anajua kuhusu web. So usiibie watu mzeee,jus kuwa real tu maana hata blog n free ila kuweka iwenamwonekano premium lazma ukutoke pesa