Raynold Lema
Member
- Oct 20, 2019
- 27
- 7
Tuna tengenezea Moshi, ila kwa upande wa usafirishaji tuna safirisha mikoa yote nchini.Je kwa walio mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro watapaje huduma yako. Au una mawakala sehemu zingine za nchi?
Bei gani kwa kila ujazo?Tuna tengenezea Moshi, ila kwa upande wa usafirishaji tuna safirisha mikoa yote nchini.
Kama ni hivyo kwa nini bandiko lako lisiambatanishwe na vielelezo vyenye kuonyesha aina za mashine pamoja na maelezo ya kiufanisi?Tuna tengenezea Moshi, ila kwa upande wa usafirishaji tuna safirisha mikoa yote nchini.
Weka japo picha kadhaa za muonekano wa hiyo mashine, na maelezo yake kidogo jinsi inavyofanya kazi
Mbona hili swali unelikimbia-?Poa poa
Hapana mimi sio dalali.Mbona kama huyu ni Dalali?!
Mpigie ujue zaidi acha ramli .Mbona kama huyu ni Dalali?!
Hapana mimi sio dalali.Mbona kama huyu ni Dalali?!
Mbona hili swali unelikimbia-?
0768076849 nipigie kwa maelezo zaidi.Inafanyaje kazi?
0768076849Inafanyaje kazi?
Wananunua China. Hakuna anayotengeneza
Mkuuu nsameikunda den mae lakini ilerhii mbe...shiniiini den..asee hapo kalali nimekiuja sana na pia hayo maziwa mlikuwa mnatuuzia shuleni.. sh mia pakiti mbili.Bei ni maelewano mkuu. Tuwasiliane.