Tunatengeneza Logo

Tunatengeneza Logo

BURUDIKA

Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
91
Reaction score
8
Habari wana jamvi.
Samahani sisi ni graduates wa chuo kikuu flani ivi hapa Tanzania. Fani yetu ni Business Administration and Marketing lakini tumesomea pia GRAPHICS DESIGN kutoka University of Dar es salaam Computing Centre (UCC). Tumefungua ofisi tunadesign LOGO, FLIERS, BROCHURES na vinginevyo. Tunakaribisha mtu yeyote mwenye biashara yeyote anaetaka kupatiwa huduma moja kati ya hizo awasiliane nasi kwa 0714442267 au danieljmwita@gmail.com.
Tunawakaribisha wote.
Karibuni sana.
 
Back
Top Bottom