MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Ndugu zanguni habu tujaribu kuwa makini katika kumchagua Rais wa nchi na si kutanguliza ushabiki wa mihemko ya kisiasa.Huyu ni kiongozi wa taifa na sio mtu wa mchezo,sio mtu wa majaribio na wala sio mtu wa kukurupuka!
Hili taifa lilikofikia hivi sasa linahitaji kiongozi anayeifahamu nchi hii vizuri ni wapi imetoka,wapi iliko na wapi inaelekea! Kiongozi anayezifahamu shida za watanzania tokea nchi ipate Uhuru, anatakiwa kiongozi aliyekua katika midingi ya kiongozi na ni mtu anayeuelewa utawala wa sheria.
Kwa hakika watanzania tusipoongozwa na na busara tukaongizwa na ushabiki, mihemko ya kisiasa,chuki na fitina za ajabu na za kilaghai tutalia na kusaga meno, Itafikia mahali tutasema Leo hii ni afadhali ya jana.
Mtu anyelifaham tunamjua na yupo, tusichague mtu wa kwenda kujifunza namna ya kiliendesha taifa na kumfunza diplomasia. Kwa nchi za wenzetu watu wa namna hiyo huandaliwa mapema ili kujifunza namna ya kiliendesha taifa kwa ujumla.
Kiongozi wa taifa tunayekutegemea huwezi kuwauliza wananchi kwanini mahospitalini dawa hazipatikani ilihali kwenye maduka yanapatikana badala ya kuuliza ni kwanini TWIGA wanasafiriwa kwenye ndege?,ni kwanini meno ya tembo yanasafirishwa mchana kweupe?
Hili taifa lilikofikia hivi sasa linahitaji kiongozi anayeifahamu nchi hii vizuri ni wapi imetoka,wapi iliko na wapi inaelekea! Kiongozi anayezifahamu shida za watanzania tokea nchi ipate Uhuru, anatakiwa kiongozi aliyekua katika midingi ya kiongozi na ni mtu anayeuelewa utawala wa sheria.
Kwa hakika watanzania tusipoongozwa na na busara tukaongizwa na ushabiki, mihemko ya kisiasa,chuki na fitina za ajabu na za kilaghai tutalia na kusaga meno, Itafikia mahali tutasema Leo hii ni afadhali ya jana.
Mtu anyelifaham tunamjua na yupo, tusichague mtu wa kwenda kujifunza namna ya kiliendesha taifa na kumfunza diplomasia. Kwa nchi za wenzetu watu wa namna hiyo huandaliwa mapema ili kujifunza namna ya kiliendesha taifa kwa ujumla.
Kiongozi wa taifa tunayekutegemea huwezi kuwauliza wananchi kwanini mahospitalini dawa hazipatikani ilihali kwenye maduka yanapatikana badala ya kuuliza ni kwanini TWIGA wanasafiriwa kwenye ndege?,ni kwanini meno ya tembo yanasafirishwa mchana kweupe?