CalvinKimaro
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 244
- 312
Huku Kwetu bei ya Mahindi Debe Moja ni Tsh.10,000-12,500
Hivyo Junia Moja ni Tsh 70,000-87500, Tabora kwa Ujumla wake.
Naombeni Nanyi Takwimu Sahihi Maeneo Mliyoko ili Tupate Takwimu Sahihi,Maana tumechoka Kushikiwa Vichwa...
Angalizo bei inatofautiana kulingana na Muktadha wa Mazingira na uhitaji wake
# Hakikisha unaandika
Mkoa,Wilaya,na eneo husika Ili tuweze kujua kama tunaaminishwa kwa usahihi au ndio mvurugano!!!
Hivyo Junia Moja ni Tsh 70,000-87500, Tabora kwa Ujumla wake.
Naombeni Nanyi Takwimu Sahihi Maeneo Mliyoko ili Tupate Takwimu Sahihi,Maana tumechoka Kushikiwa Vichwa...
Angalizo bei inatofautiana kulingana na Muktadha wa Mazingira na uhitaji wake
# Hakikisha unaandika
Mkoa,Wilaya,na eneo husika Ili tuweze kujua kama tunaaminishwa kwa usahihi au ndio mvurugano!!!