๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฟ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ฎ!!!

๐—ง๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฟ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ฎ!!!

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250720_182224_0000.png


Tunarudi Tena Mwezini. Picha unayiona ni Alama ya mguu baada ya binadamu kutua Mwezini ๐Ÿฅพ.

Imepita zaidi ya Miaka 56, baada wanaanga Toka Nasa Neil Armstrong na Buzz Aldrin walipofika Mwezini, na kuwa wanadamu wa kwanza kutembea kwenye Ardhi ya mwezini. Sasa wanafanya kazi Tena ya kurudi Mwezini.

Sio stori Tena ni kitu cha ukweli, NASA wataweza kushirikiana na washirika wa kimataifa na kibiashara ili kurejea Mwezini Kisha kukaa kwa muda mrefu huko , ambapo mchakato huo ni hatua muhimu katika kuelekea kwenye Sayari ya Mars.

2_20250720_182224_0001.png


Sayari yao itaweza kusaidia kuweza kufanya tafiti Mbalimbali za kisayansi na Teknolojia ambapo lengo lao ni kuwezesha wanadamu kusafiri na kutalii mbali na Dunia.

NASA imesema " tunataka kujifunza kuhusu sayari Nyekundu kuhusu mambo ya kale na yajayo ya Dunia huenda itasaidia kujibu ikiwa kuna uhai zaidi ya sayari yetu ya nyumbani.
 
sehemu ushawahi kwenda ukarudi kwendatena kunausumbufu gani wakati ulishapata ufumbuzi?

waongo hawajawahi kwenda na hawatowahi
 
Wenzetu wanasonga mbele kwenye tafiti mbalimbali za sayari na miezi yake.
Wanasayansi wetu wanahangaika kusaka ubunge kwa hali na mali ili wakalipwe vinono kwa kazi ya kupiga piga meza.
Kupanga ni kuchagua.
 
Maongo, kama walienda zama ambazo walikuwa chini kwa kila kitu kuanzia uchumi na sayansi inashindikanaje kwenda kirahisi sasa hivi?
 
Maongo, kama walienda zama ambazo walikuwa chini kwa kila kitu kuanzia uchumi na sayansi inashindikanaje kwenda kirahisi sasa hivi?
Wewe endelea kusema tu October mnatiki,mambo ya sayansi kaa nayo mbali kabisa.hujui lolote
 
View attachment 3412293

Tunarudi Tena Mwezini. Picha unayiona ni Alama ya mguu baada ya binadamu kutua Mwezini ๐Ÿฅพ.

Imepita zaidi ya Miaka 56, baada wanaanga Toka Nasa Neil Armstrong na Buzz Aldrin walipofika Mwezini, na kuwa wanadamu wa kwanza kutembea kwenye Ardhi ya mwezini. Sasa wanafanya kazi Tena ya kurudi Mwezini.

Sio stori Tena ni kitu cha ukweli, NASA wataweza kushirikiana na washirika wa kimataifa na kibiashara ili kurejea Mwezini Kisha kukaa kwa muda mrefu huko , ambapo mchakato huo ni hatua muhimu katika kuelekea kwenye Sayari ya Mars.

View attachment 3412294

Sayari yao itaweza kusaidia kuweza kufanya tafiti Mbalimbali za kisayansi na Teknolojia ambapo lengo lao ni kuwezesha wanadamu kusafiri na kutalii mbali na Dunia.

NASA imesema " tunataka kujifunza kuhusu sayari Nyekundu kuhusu mambo ya kale na yajayo ya Dunia huenda itasaidia kujibu ikiwa kuna uhai zaidi ya sayari yetu ya nyumbani.

Uliacha kuingia mwezini? Hata demu alikaa miezi 3 haendi mwezini last week kaanza alifurahi sana na kunitumia msg kuwa amerudi tena mwezini. Na ameziona siku zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom