Tunamwomba Mansour na Mzee Moyo Kuja Bara

Tunamwomba Mansour na Mzee Moyo Kuja Bara

Acha Uvivu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
524
Reaction score
131
Haina ubishi kwamba wazanzibar siku zote wako mbele kuliko watu wa bara, wanajielewa na wanajitambua. Kwao utaifa ni jambo la kwanza kuliko chama, hasa kwa wenye maono waliyo ndani ya CCM kutotishika na siasa za maslahi na ufisadi wa chama hicho kikongwe lakini kichanga kuliko busara za akina mzee Moyo.

Wakati wazee wa CCM bara, wakitishiwa nyau hawako tayari kujitoa mhanga mpaka hatua ya kufukuzwa mapema wanakuwa tayari wameshalainika na kurudi katika kundi la maadui waliyodai kuwapinga.

Hoja pekee, ni kuwa kwa uoga wa watu wa bara na kukosa msimamo imepelekea wazanzibari kulaumu wabara kama kikwazo pekee cha ukombozi wa pili visiwani. Kweli hili halina ubishi, ukirejea ushindi wa CUF visiwani katika chaguzi 3 mfululizo lakini ushindi ukibatilishwa kwa nguvu ya wana CCM wa bara ambao wamekuwa wakitegemea uoga wa watanganyika kujidhatiti.

Sasa kuna watu hawa, Mansour Yusufu na Mzee Moyo ambao hawajataka kuburuzwa. MANSOUR amejiunga CUF na Mzee Moyo akiwa mstari wa mbele kuwaelimisha wazanzibar hasa kuhusu Muungano kama ilivyopendekezwa katika Katiba chini ya Mzee Warioba.

Sasa ningeshauri hawa wazee wavuke bahari kuja bara, wasaidiane na UKAWA na kuifuta kabisa CCM.
 
Kweli kwa baadhi ya wazanzibar wanajitambua na mfano ndo huo ulio utoa
 
Nchi yao inaishia Nungwi, wakivuka hapo kesi ya uhaini inawahusu na tutawapeleka kule Kigamboni kwenye hifadhi yao
 
Nchi yao inaishia Nungwi, wakivuka hapo kesi ya uhaini inawahusu na tutawapeleka kule Kigamboni kwenye hifadhi yao

CCM ya sasa haina ubavu huo na wala haina kiongozi mwenye ushawishi wananchi wakamwelewa. Mnaishi kwa mizimu ya chama tawala lakini akili hazina chembe ya fikra za kiutawala bali ulaji tu na makundi.
 
Ulivyojibu ni ishara ya msituko uliyoupata kwamba hao jamaa wakiingia bara basi utakuwa mwisho wako kupokea 5000 za Lumumba.

Kenge wewe kwakua mama yako anapokeaga basi unadhani kila mtu anahongwa? Kenge we
 
Kenge wewe kwakua mama yako anapokeaga basi unadhani kila mtu anahongwa? Kenge we

Sasa kwa 'busara' hii unayoonesha ndo muweze kuwadhibiti akina Mzee Moyo, na mwaka huu CCM lazima mpoteze visiwani na bara, na sijui nguvu ya matunguli mtaitengezea wapi.
 
Haina ubishi kwamba wazanzibar siku zote wako mbele kuliko watu wa bara, wanajielewa na wanajitambua. Kwao utaifa ni jambo la kwanza kuliko chama, hasa kwa wenye maono waliyo ndani ya CCM kutotishika na siasa za maslahi na ufisadi wa chama hicho kikongwe lakini kichanga kuliko busara za akina mzee Moyo.

Wakati wazee wa CCM bara, wakitishiwa nyau hawako tayari kujitoa mhanga mpaka hatua ya kufukuzwa mapema wanakuwa tayari wameshalainika na kurudi katika kundi la maadui waliyodai kuwapinga.

Hoja pekee, ni kuwa kwa uoga wa watu wa bara na kukosa msimamo imepelekea wazanzibari kulaumu wabara kama kikwazo pekee cha ukombozi wa pili visiwani. Kweli hili halina ubishi, ukirejea ushindi wa CUF visiwani katika chaguzi 3 mfululizo lakini ushindi ukibatilishwa kwa nguvu ya wana CCM wa bara ambao wamekuwa wakitegemea uoga wa watanganyika kujidhatiti.

Sasa kuna watu hawa, Mansour Yusufu na Mzee Moyo ambao hawajataka kuburuzwa. MANSOUR amejiunga CUF na Mzee Moyo akiwa mstari wa mbele kuwaelimisha wazanzibar hasa kuhusu Muungano kama ilivyopendekezwa katika Katiba chini ya Mzee Warioba.

Sasa ningeshauri hawa wazee wavuke bahari kuja bara, wasaidiane na UKAWA na kuifuta kabisa CCM.

mleta mada acha kuropoka na mawazo yako yakingese..hizo porojo peleka kwenye group za whatsap si humu..f.a.la. kabisa
 
mleta mada acha kuropoka na mawazo yako yakingese..hizo porojo peleka kwenye group za whatsap si humu..f.a.la. kabisa

Unaonyesha ni jinsi gani ulivyo mtupu, jibu hoja kwa kujenga hoja. Matusi yamekusaidia nini?
 
mleta mada acha kuropoka na mawazo yako yakingese..hizo porojo peleka kwenye group za whatsap si humu..f.a.la. kabisa

Na Mzee Moyo, anaendeleza mashambulizi vibaya na ametamka wazi kwamba km sio yeye kumwendea Maalim Seif kwa maridhiano basi rais wenu wa kupandikiza Shein asingeupata.

Na anazidi kupambana, na atawashinda maana akili zinazompinga ni kama zako.
 
Nchi yao inaishia Nungwi, wakivuka hapo kesi ya uhaini inawahusu na tutawapeleka kule Kigamboni kwenye hifadhi yao

Nadhani bara ndiyo tuna mipaka ya kuingia Zanzibar ila wao wanafruga kila kona huku bara
 
Na Mzee Moyo, anaendeleza mashambulizi vibaya na ametamka wazi kwamba km sio yeye kumwendea Maalim Seif kwa maridhiano basi rais wenu wa kupandikiza Shein asingeupata.

Na anazidi kupambana, na atawashinda maana akili zinazompinga ni kama zako.

Ataendelea hivyohivyo kupambana mpaka mwisho wake lakini asahau Kama ccm itatoka kwenye dola.
 
Haina ubishi kwamba wazanzibar siku zote wako mbele kuliko watu wa bara, wanajielewa na wanajitambua. Kwao utaifa ni jambo la kwanza kuliko chama, hasa kwa wenye maono waliyo ndani ya CCM kutotishika na siasa za maslahi na ufisadi wa chama hicho kikongwe lakini kichanga kuliko busara za akina mzee Moyo.

Wakati wazee wa CCM bara, wakitishiwa nyau hawako tayari kujitoa mhanga mpaka hatua ya kufukuzwa mapema wanakuwa tayari wameshalainika na kurudi katika kundi la maadui waliyodai kuwapinga.

Hoja pekee, ni kuwa kwa uoga wa watu wa bara na kukosa msimamo imepelekea wazanzibari kulaumu wabara kama kikwazo pekee cha ukombozi wa pili visiwani. Kweli hili halina ubishi, ukirejea ushindi wa CUF visiwani katika chaguzi 3 mfululizo lakini ushindi ukibatilishwa kwa nguvu ya wana CCM wa bara ambao wamekuwa wakitegemea uoga wa watanganyika kujidhatiti.

Sasa kuna watu hawa, Mansour Yusufu na Mzee Moyo ambao hawajataka kuburuzwa. MANSOUR amejiunga CUF na Mzee Moyo akiwa mstari wa mbele kuwaelimisha wazanzibar hasa kuhusu Muungano kama ilivyopendekezwa katika Katiba chini ya Mzee Warioba.

Sasa ningeshauri hawa wazee wavuke bahari kuja bara, wasaidiane na UKAWA na kuifuta kabisa CCM.
Hawa wazee wanadai zanzibar yenye mamlaka kamili, kwani UKAWA nao wanadai zanzibar yenye mamlaka kamili?
 
Back
Top Bottom