Tunakosea wapi kama taifa

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,506
Hivi inakuwaje nchi maskini sana duniani kama malawi inaweza kumudu na kuwahudumia wananchi wake kuanzia elimu,maji na kilimo halafu nchi yenye uchumi wa kati kama tanzania inashindwa kuwahudumia wananchi wake?

Katika ziara ya mbunge wa mbozi mheshimiwa Pascal Haonga nchini malawi nilithibitisha na kuyaona haya.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Serikali ya malawi huandaa mpango maalumu wa kilimo kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wake.mpango huo huwa miaka mitano au miaka miwili .

serikali ya malawi inapofika mwezi wa 6 huandikisha sensa ya wakulima na kupewa kadi maalumu na inapofika kipindi cha kilimo yani mwezi wa 10 serikali ya malawi huleta mbolea na kujaza kwenye maghala ya serikali..
mkulima anaenda kwenye ghala hilo la serikali akiwa na kadi aliyopewa wakati wa sensa ambapo mfuko wa kg 50 DAP na UREA kg 50 na mbegu kg 10 mkulima ananunua kwa 4500 kwacha ambayo ni sawa na Tsh.18,000/= elfu 18 pesa ya tanzania,wakati serikali ya tanzania mfuko wa kg 50 DAP,UREA kg 50 na mbegu kg 10 kwa bei ya ruzuku mkulima ananunua kwa Tsh.92,000/= hii ni sawa na mara 5 ya ruzuku ya serikali ya malawi kwamba tanzania bei juuu sh.92,000 na malawi bei chini Tsh.18,000.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAJI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Pamoja na umaskini wa malawi lakini wamejitahidi sana kutatua tatizo la maji kwani mpaka sasa malawi imechimba visima vya maji safi nchi nzima kwenye vitongoji vyote wakati nchi yenye uchumi wa kati tanzania maji ndio changamoto kubwa zaidi.nilipojaribu kuongea na afisa mmoja wa idara ya maji aliniambia wao wanaitumia vizuri bila kuchakachua misaada kutoka world bank wakati tanzani ata tukipewa msaada na world bank kwa ajili ya kutatua shida ya maji pesa zinaishia kwa vigogo wachache wanaojiita mawaziri,makatibu wa wizara,wakurugenzi wa taasisi na wengineo.

...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,UMEME,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
kwa mjibu wa meneja wa Shirika la umeme nchini malawi linalojulikana kama Electricity Supply Corporation of Malawi Limited (ESCOM) mkoa wa mzuzu alisema utaratibu kusambaza umeme mijini na vijijini ni bure sifa ni kwamba muombaji anayetaka kuingiziwa umeme nyumba iwe imeezekwa kwa bati na kama ametimiza mashariti hayo atatuma maombi kwenye shirika la umeme ambapo ataingiziwa umeme bure bila gharama yoyote wakati tanzania pamoja na wahisani kutoa fedha za kusambaza umeme vijijini maarufu kama (REA) lakini bado mnachajiwa kati ya Tsh laki 2 ili kuunganishiwa umeme yani ni sawa na mtu amekupa ofa ya chakula hotelini na umekulipia na ameondoka lakini muhudumu anakudai pesa ya chakula wakati ulilipiwa ndio wizi na ufisadi wa serikali ya tanzania.

Huu ni upuuzi nchi inayojiita ni yenye uchumi wa kati inashindwa kumudu kuwahudumia wananchi wake na inazidiwa na nchi maskini kabisa tanzania imejaa viongozi wengi wa serikali matapeli wezi na mafisadi,wanasema uchumi umekuwa kumbe huo uchumi umekua kwenye matumbo yao.Hakina kama taifatuna kazi kubwa ya kufanya

Tuonane 2020#
By
mdude nyagali
 
Logically hapo ni kwamba Tanzania ni masikini kuliko Malawi. Wao ndo wana uchumi wa kati na sisi tuna uchumi wa chini
 
Hivi inakuwaje nchi maskini sana duniani kama malawi inaweza kumudu na kuwahudumia wananchi wake kuanzia elimu,maji na kilimo halafu nchi yenye uchumi wa kati kama tanzania inashindwa kuwahudumia wananchi wake?

Katika ziara ya mbunge wa mbozi mheshimiwa Pascal Haonga nchini malawi nilithibitisha na kuyaona haya.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Serikali ya malawi huandaa mpango maalumu wa kilimo kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wake.mpango huo huwa miaka mitano au miaka miwili .

serikali ya malawi inapofika mwezi wa 6 huandikisha sensa ya wakulima na kupewa kadi maalumu na inapofika kipindi cha kilimo yani mwezi wa 10 serikali ya malawi huleta mbolea na kujaza kwenye maghala ya serikali..
mkulima anaenda kwenye ghala hilo la serikali akiwa na kadi aliyopewa wakati wa sensa ambapo mfuko wa kg 50 DAP na UREA kg 50 na mbegu kg 10 mkulima ananunua kwa 4500 kwacha ambayo ni sawa na Tsh.18,000/= elfu 18 pesa ya tanzania,wakati serikali ya tanzania mfuko wa kg 50 DAP,UREA kg 50 na mbegu kg 10 kwa bei ya ruzuku mkulima ananunua kwa Tsh.92,000/= hii ni sawa na mara 5 ya ruzuku ya serikali ya malawi kwamba tanzania bei juuu sh.92,000 na malawi bei chini Tsh.18,000.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAJI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Pamoja na umaskini wa malawi lakini wamejitahidi sana kutatua tatizo la maji kwani mpaka sasa malawi imechimba visima vya maji safi nchi nzima kwenye vitongoji vyote wakati nchi yenye uchumi wa kati tanzania maji ndio changamoto kubwa zaidi.nilipojaribu kuongea na afisa mmoja wa idara ya maji aliniambia wao wanaitumia vizuri bila kuchakachua misaada kutoka world bank wakati tanzani ata tukipewa msaada na world bank kwa ajili ya kutatua shida ya maji pesa zinaishia kwa vigogo wachache wanaojiita mawaziri,makatibu wa wizara,wakurugenzi wa taasisi na wengineo.

...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,UMEME,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
kwa mjibu wa meneja wa Shirika la umeme nchini malawi linalojulikana kama Electricity Supply Corporation of Malawi Limited (ESCOM) mkoa wa mzuzu alisema utaratibu kusambaza umeme mijini na vijijini ni bure sifa ni kwamba muombaji anayetaka kuingiziwa umeme nyumba iwe imeezekwa kwa bati na kama ametimiza mashariti hayo atatuma maombi kwenye shirika la umeme ambapo ataingiziwa umeme bure bila gharama yoyote wakati tanzania pamoja na wahisani kutoa fedha za kusambaza umeme vijijini maarufu kama (REA) lakini bado mnachajiwa kati ya Tsh laki 2 ili kuunganishiwa umeme yani ni sawa na mtu amekupa ofa ya chakula hotelini na umekulipia na ameondoka lakini muhudumu anakudai pesa ya chakula wakati ulilipiwa ndio wizi na ufisadi wa serikali ya tanzania.

Huu ni upuuzi nchi inayojiita ni yenye uchumi wa kati inashindwa kumudu kuwahudumia wananchi wake na inazidiwa na nchi maskini kabisa tanzania imejaa viongozi wengi wa serikali matapeli wezi na mafisadi,wanasema uchumi umekuwa kumbe huo uchumi umekua kwenye matumbo yao.Hakina kama taifatuna kazi kubwa ya kufanya

Tuonane 2020#
By
mdude nyagali
Tuwasubiri wachambuzi
 
Kimsingi umeongea PUMBA. Malawi ni nchi ndogo na maskini sana tuulize tuliofika na kuishi kabisa huko. Kwenda Malawi mara moja kusikuzubaishe

Kwenye vitabu na kwa maneno Hakuna nchi Africa ambayo haifanyi vizuri ila mtaani hali ni tofauti. Mambo kama elimu bure hata sisi tuna sera elimu bure toka miaka ya uwani ila utekelezaji wake kila mtu anajua, kilimo tunajua serikali ilikua inatoa ruzuku za kilimo ila zote zinaishia kwa wenyewe na mambo mengine kadha wa kadha. Nachosema kumuuliza mtu Malawi na kujionea sehemu ndogo ya Malawi hakufanyi Malawi nzima kuwa imeendelea, Malawi ipo nyuma sana na tumeshaipa misaada mara kadhaa

Mtindo wa waTanzania kusifia kila kitu cha nje na kuponda kila kitu cha kwao Ni ujinga wa aina yake. Mlianza na kusifia kila kitu cha Kenya sahizi mnaenda Malawi hiki Ni kiwango cha ujinga kilichotukuka
 
Hivi inakuwaje nchi maskini sana duniani kama malawi inaweza kumudu na kuwahudumia wananchi wake kuanzia elimu,maji na kilimo halafu nchi yenye uchumi wa kati kama tanzania inashindwa kuwahudumia wananchi wake?

Katika ziara ya mbunge wa mbozi mheshimiwa Pascal Haonga nchini malawi nilithibitisha na kuyaona haya.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Serikali ya malawi huandaa mpango maalumu wa kilimo kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wake.mpango huo huwa miaka mitano au miaka miwili .

serikali ya malawi inapofika mwezi wa 6 huandikisha sensa ya wakulima na kupewa kadi maalumu na inapofika kipindi cha kilimo yani mwezi wa 10 serikali ya malawi huleta mbolea na kujaza kwenye maghala ya serikali..
mkulima anaenda kwenye ghala hilo la serikali akiwa na kadi aliyopewa wakati wa sensa ambapo mfuko wa kg 50 DAP na UREA kg 50 na mbegu kg 10 mkulima ananunua kwa 4500 kwacha ambayo ni sawa na Tsh.18,000/= elfu 18 pesa ya tanzania,wakati serikali ya tanzania mfuko wa kg 50 DAP,UREA kg 50 na mbegu kg 10 kwa bei ya ruzuku mkulima ananunua kwa Tsh.92,000/= hii ni sawa na mara 5 ya ruzuku ya serikali ya malawi kwamba tanzania bei juuu sh.92,000 na malawi bei chini Tsh.18,000.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAJI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Pamoja na umaskini wa malawi lakini wamejitahidi sana kutatua tatizo la maji kwani mpaka sasa malawi imechimba visima vya maji safi nchi nzima kwenye vitongoji vyote wakati nchi yenye uchumi wa kati tanzania maji ndio changamoto kubwa zaidi.nilipojaribu kuongea na afisa mmoja wa idara ya maji aliniambia wao wanaitumia vizuri bila kuchakachua misaada kutoka world bank wakati tanzani ata tukipewa msaada na world bank kwa ajili ya kutatua shida ya maji pesa zinaishia kwa vigogo wachache wanaojiita mawaziri,makatibu wa wizara,wakurugenzi wa taasisi na wengineo.

...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,UMEME,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
kwa mjibu wa meneja wa Shirika la umeme nchini malawi linalojulikana kama Electricity Supply Corporation of Malawi Limited (ESCOM) mkoa wa mzuzu alisema utaratibu kusambaza umeme mijini na vijijini ni bure sifa ni kwamba muombaji anayetaka kuingiziwa umeme nyumba iwe imeezekwa kwa bati na kama ametimiza mashariti hayo atatuma maombi kwenye shirika la umeme ambapo ataingiziwa umeme bure bila gharama yoyote wakati tanzania pamoja na wahisani kutoa fedha za kusambaza umeme vijijini maarufu kama (REA) lakini bado mnachajiwa kati ya Tsh laki 2 ili kuunganishiwa umeme yani ni sawa na mtu amekupa ofa ya chakula hotelini na umekulipia na ameondoka lakini muhudumu anakudai pesa ya chakula wakati ulilipiwa ndio wizi na ufisadi wa serikali ya tanzania.

Huu ni upuuzi nchi inayojiita ni yenye uchumi wa kati inashindwa kumudu kuwahudumia wananchi wake na inazidiwa na nchi maskini kabisa tanzania imejaa viongozi wengi wa serikali matapeli wezi na mafisadi,wanasema uchumi umekuwa kumbe huo uchumi umekua kwenye matumbo yao.Hakina kama taifatuna kazi kubwa ya kufanya

Tuonane 2020#
By
mdude nyagali
Baada ya kuisifisa sana Malawi hasa kwenye kilimo na kuiponda nchi yako Tanzania kama walivyo watanzania wengi umesikia kwamba Malawi imetangaza baa la njaa!!
 
Back
Top Bottom