Tunakoelekea tusije kulaumiana!!

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,647
Reaction score
58,453
Nasema hili kwa dhati kabisa Rais Samia Na CCM mnakotupeleka tusije kulaumiana

Nchi hii toka mwaka 2010 inataka mabadiliko Ila nyie mnazuia

Wananchi wapo tayari kwa mabadiliko!!

WanaCCM ni ndugu zetu pia na police ni ndugu zetu huko mtaani. watu wakichoka wataana na Wana CCM na police.

Endeleeni kupanda hiyo mbegu ikichipua na kusitawi msije kulalamika !!

Muhaini ni nani ni yule msaliti anayeuza Mali za nchi na kuficha pesa nje ya nchi au anayewafumbua watu ukweli juu ya wajibu haki na Uhuru wao?.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Sina undugu na polisi wala mzanzibar yoyote maisha yangu yote
 
Muhaini ni nani ni yule msaliti anayeuza Mali za nchi na kuficha pesa nje ya nchi au anayewafumbua watu ukweli juu ya wajibu haki na Uhuru wao?.💪🏿
 
Nani huyo wa kuacha mambo yake aje kuwapigania nyie Chadomo? 😂😂
 
Martin Niemöller's famous quote, "First they came for the socialists, and I did not speak out... Then they came for the Jews, and I did not speak out... Then they came for me, and there was no one left to speak out for me
 
Tunaomba silaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…