Tunachota kwa zamu

Nadhani nishajibu maswali ya watu wengi hapa

Hatunywu sumu hatujinyongiiiiii
Ccm mbele kwa mbeleee
Tumeipenda wenyewe
Chaguo letu wenyeweeee
Wacha waisome nambaaa weeeeeee
Ccm mbele kwa mbeleeeee
Wacheni wandamane weeeeee.......ujinga wao
Ccm mbele kwa mbeleeeeee
Tumewapiga kwenye mitaaaaa
Ccm mbele kwa mbelee
Tutawapiga na udiwani
Ccm mbele kwa mbele
Tutawapiga na ubungeee
Ccm mbele kwa mbeleeee
Chamtema kuni kwa Uraisi
Ccm mbele kwa mbelee


*Huu wimbo unajieleza na utatunyoosha*
 
Na hapo tuna asilimia zaidi ya 60 ya mipaka ni maji tupu, maziwa makuu na madogo, mito mikubwa vyanzo mbalimbali vya maji... tungekuwa na akili hii kwenye nchi kama Mali katikati ya jangwa saa hizi tungekuwa kwenye historia tu!...
 
Dah!!
 
Kwani wenzio wamekwambia wanahangaika na maji? Nani kakwambia? ...Na muda wa kuhangaika na manji si watakosa? Hahahaaa
 
Maji .. Maji... Kuna wanaobakwa kwa kutafuta maji, wanaopata mimba za maji, wanaoliwa na simba kwa ajili ya maji, wanaoachwa na waume kwa ajili ya maji, maji maji maji... Athari za kijamii (Social impact) za kukosa maji ni kubwa na viongozi hawaoni kama ni udhaifu wa kuwapa mahitaji ya lazima wananchi wake... Viongozi wana hatia ya haya yote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…