Yooh nigger u just sound truely nimetoka kumcheki mchizi Enews ya EATV dakika 2 zilizopita,the guy ni kweli hayuko normal aseee haeleweki anachoongea anajaribu kubuy furaha but usoni unaona kabisa he z just missing something/somebody.God help my ninja from salasala!Ni muda sasa Godzilla tangu aachane na Mpenzi wake Doreen Andrew ""Deeandy amekuwa mtu mwenye frastruation na hayuko kama alivokuwa zamani.
Zilla amekuwa wakueleza matatizo ya familia yao kwenye mitandao ya kijamii.
Zilla utendaji wake wa kazi umeshuka sio kama alivokuwa hapo awali.
Zilla amekuwa mtu wa kuanzishiana noma kwenye mtandao wa kijamii.. kuna siku alileteana noma hadi na Mwana Fa kule twitter ila Mwana Fa akatumia ukubwa wake nakuepusha maneno.
Kwa sasa naona kawa hata kwenye Interview akiitwa uzungumzaji wake ni kama mtu amabae hajiamini na hana imani na anachokifanya, mfano ni Interview ya XXL alivokuwa anatambulisha wimbo wake na Gnako-Kila wakati.
Sasa my take tumnusuru huyu Msanii wetu, kaka yetu, mdogo wetu. kama ni mapenzi please please Deeandy alisha Move on, pia Deeandy msamehee huyu bwana kama kosa lilikuwa lake msamee uokoe career yake, pia utamuokoa asije akaenda mbali zaidi akatumia madawa.
Ahsante.
Wewe umeshamuombea?Ni muda sasa Godzilla tangu aachane na Mpenzi wake Doreen Andrew ""Deeandy amekuwa mtu mwenye frastruation na hayuko kama alivokuwa zamani.
Zilla amekuwa wakueleza matatizo ya familia yao kwenye mitandao ya kijamii.
Zilla utendaji wake wa kazi umeshuka sio kama alivokuwa hapo awali.
Zilla amekuwa mtu wa kuanzishiana noma kwenye mtandao wa kijamii.. kuna siku alileteana noma hadi na Mwana Fa kule twitter ila Mwana Fa akatumia ukubwa wake nakuepusha maneno.
Kwa sasa naona kawa hata kwenye Interview akiitwa uzungumzaji wake ni kama mtu amabae hajiamini na hana imani na anachokifanya, mfano ni Interview ya XXL alivokuwa anatambulisha wimbo wake na Gnako-Kila wakati.
Sasa my take tumnusuru huyu Msanii wetu, kaka yetu, mdogo wetu. kama ni mapenzi please please Deeandy alisha Move on, pia Deeandy msamehee huyu bwana kama kosa lilikuwa lake msamee uokoe career yake, pia utamuokoa asije akaenda mbali zaidi akatumia madawa.
Ahsante.
Mmh,jamaa kayazuilia bandarini makinikia yao,hawana raha kabisa.kwan huyo Doreen na godzila n kina nan???au ndo waliokuwa wanasafirisha makinikia???
Ni muda sasa Godzilla tangu aachane na Mpenzi wake Doreen Andrew ""Deeandy amekuwa mtu mwenye frastruation na hayuko kama alivokuwa zamani.
Zilla amekuwa wakueleza matatizo ya familia yao kwenye mitandao ya kijamii.
Zilla utendaji wake wa kazi umeshuka sio kama alivokuwa hapo awali.
Zilla amekuwa mtu wa kuanzishiana noma kwenye mtandao wa kijamii.. kuna siku alileteana noma hadi na Mwana Fa kule twitter ila Mwana Fa akatumia ukubwa wake nakuepusha maneno.
Kwa sasa naona kawa hata kwenye Interview akiitwa uzungumzaji wake ni kama mtu amabae hajiamini na hana imani na anachokifanya, mfano ni Interview ya XXL alivokuwa anatambulisha wimbo wake na Gnako-Kila wakati.
Sasa my take tumnusuru huyu Msanii wetu, kaka yetu, mdogo wetu. kama ni mapenzi please please Deeandy alisha Move on, pia Deeandy msamehee huyu bwana kama kosa lilikuwa lake msamee uokoe career yake, pia utamuokoa asije akaenda mbali zaidi akatumia madawa.
Ahsante.
Yooh nigger u just sound truely nimetoka kumcheki mchizi Enews ya EATV dakika 2 zilizopita,the guy ni kweli hayuko normal aseee haeleweki anachoongea anajaribu kubuy furaha but usoni unaona kabisa he z just missing something/somebody.God help my ninja from salasala!