Tumesubiri Ajira Mpaka Basi

Tumesubiri Ajira Mpaka Basi

Rayd

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
278
Reaction score
67
Ndugu Zangu Em Tusaidien Hata Kwa Mawazo. Si Tulifanya Intv Serikalin Kwa Mwanasheria Mkuu Sept 29, Majib Yakatoka Oct. Barua Zetu Hazikuonesha Vituo Vya Kazi Ila Tulienda Kuriport Kwa AG. Wakatwambia Tungeitwa Wik Iliyofata, Jaman Mpaka Leoo, Tunaenda Mwez Wa 4 Sasa. Tunashindwa Kufanya Maaamuz Jaman....
 
Pole sana, lakini Una uhakika hujakosea jukwaa?
 
Pole sana@Rayd ni watsup 0758488503 nikuelekeze mbadala wa ajira wakati ukiingoja serekali
 
Ndugu Zangu Em Tusaidien Hata Kwa Mawazo. Si Tulifanya Intv Serikalin Kwa Mwanasheria Mkuu Sept 29, Majib Yakatoka Oct. Barua Zetu Hazikuonesha Vituo Vya Kazi Ila Tulienda Kuriport Kwa AG. Wakatwambia Tungeitwa Wik Iliyofata, Jaman Mpaka Leoo, Tunaenda Mwez Wa 4 Sasa. Tunashindwa Kufanya Maaamuz Jaman.

Tunashare tatizo 1, pale kwa AG ndio watapanga vituo pamoja na vya mikoani km lile tangazo la ajira linavyoonesha. Me dec. 2014 nlienda kuliza nkambiwa wanajipanga oz tuko karbia 300. Tatizo hatuambiwa ni lini hasa kwasababu kila kitu kina time frame. Labda wadau watushauri kidogo.
 
Tunashare tatizo 1, pale kwa AG ndio watapanga vituo pamoja na vya mikoani km lile tangazo la ajira linavyoonesha. Me dec. 2014 nlienda kuliza nkambiwa wanajipanga oz tuko karbia 300. Tatizo hatuambiwa ni lini hasa kwasababu kila kitu kina time frame. Labda wadau watushauri kidogo.

Last Wk Nilifika Pale Nikaambiwa Hakuna Pesa. Hapo Sasa. Lini Basi Ztakuepo? Coz Wengne 2na Familia. Potelea Mbal Kipato Kuna Mambo Yanakua Kwenye Plan
 
Last Wk Nilifika Pale Nikaambiwa Hakuna Pesa. Hapo Sasa. Lini Basi Ztakuepo? Coz Wengne 2na Familia. Potelea Mbal Kipato Kuna Mambo Yanakua Kwenye Plan

Mdau nmeku PM
 
Mdau hawa wameshapewa barua za kuitwa kazin bado kuanza tu, mda wa kuitwa kuanza ndo umekuwa mrefu, rejea thread ndo ukurupuke.

Mimi sijakurupuka labda ww ndio umekurupuka ku_quote hii kitu.
 
Yan haya majanga na mimi yyamenikuta, AG aamekuwa kimya sana hata mahakama pia zile nafasi za hakimu mkazi wametuacha tu pending hakuna kituo sijui shida ni nin
 
Yan haya majanga na mimi yyamenikuta, AG aamekuwa kimya sana hata mahakama pia zile nafasi za hakimu mkazi wametuacha tu pending hakuna kituo sijui shida ni nin

Au Ndo Basi Tena?
 
Wale jamaa wataita tu kikubwa ni hela ndo reason yao, walioenda kuliza wataprove hilo. Afu km ingekuwa magumashi wangeshasema. Najaribu kulinganisha na mda wanaochukua walimu kuajiriwa mwaka huu na hizi posts. Ofcourse tumevuta subra sana tuendlee kuvumilia tena kidogo. Na km kuna mtu hajawah kwenda aende wiki hii akaulizie tuone responce itakuwa ile ile.
 
Back
Top Bottom