Tumepishana miaka 5

mtoto mdogo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
501
Reaction score
130
Helow friends,

Sio mimi nimeagizwa kuwasilisha.

Mimi ni mwanaume katika pitapita za maisha nimekutana na dada mmoja tumependana sana dada mwenyewe ni mzuri kila idara.

Na ninampenda yeye pia ananipenda. Lililonifanya niombe ushauri ni kwamba kanizidi miaka 5. Nilimwambia kuhusu kumuoa akakubali.

Tafadhalini nishaurini
 
Hatuoi umri twaoa mke. Pia uzuri wa mwanamke ni kile ulichokiona kwake weye unayeoa sisi hatutakiona. tatu umri hauandikwi usoni useme kila mtu atausoma, kama umemkubali hatuna ushauri tena.
 
Hatuoi umri twaoa mke. Pia uzuri wa mwanamke ni kile ulichokiona kwake weye unayeoa sisi hatutakiona. tatu umri hauandikwi usoni useme kila mtu atausoma, kama umemkubali hatuna ushauri tena.

Aisee ngoja nikomae pia wanasema sikiliza moyo sio watu wa nje
 
The maturity is no the age but the acceptance of responsibility
- QUOTED!!
 

Kama nakuona vileee..hahahahaaa.. age is clearly a word..!!

View attachment 242400
 
Oa haraka ck ya harusi utujulishe ili tumfaham tutakusaidia mbele ya safari.
Ufikishe ujumbe sawa?
 
Kwni unaoa Mke ama umri? Kikubw mmeridhiana kwa dhati mnaheshimiana mnatoshelezan basi son ga mbele acha kuzubaa mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…