MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Tumeanzisha siasa za kuwaona baadhi ya watanzania kua hawafai kabisa na kukosa utu hadi kuwaita mashetani tukidhani kua sisi ni malaika. Ona sasa madudu haya kwenye pesa za umma, huu ni mjadala ambao kwa sasa unaweza kua ni wingu zito lenye moshi unavuma ambao ni mgumu sana kuuzima.
Tupende tusipende, kwa chuki ambayo tumejengeana ndani ya siasa zetu kwa sasa nchini, kuna watu watasakamwa na madudu haya watajuta na hawatokaa wasahau.Wamesahau kua taifa hili lina watu zaidi ya million 50, watu wako hoi bin taabani kiuchumi,maisha yso ni magumu wasijue nini kimelikuta taifa huku wanaambiwa wavumilie leo waambiwe pesa zinaliwa au zinatumika bila u taratibu wataelewa? Pagumu hapa, tumeingia siko jamani. Hata kama ni makosa yaliyofanyika bahati mbaya au kwa nia njema lakini hapa hatoeleweka mtu.
Tupende tusipende, kwa chuki ambayo tumejengeana ndani ya siasa zetu kwa sasa nchini, kuna watu watasakamwa na madudu haya watajuta na hawatokaa wasahau.Wamesahau kua taifa hili lina watu zaidi ya million 50, watu wako hoi bin taabani kiuchumi,maisha yso ni magumu wasijue nini kimelikuta taifa huku wanaambiwa wavumilie leo waambiwe pesa zinaliwa au zinatumika bila u taratibu wataelewa? Pagumu hapa, tumeingia siko jamani. Hata kama ni makosa yaliyofanyika bahati mbaya au kwa nia njema lakini hapa hatoeleweka mtu.