G galus saanane Member Joined Sep 3, 2011 Posts 11 Reaction score 2 Dec 2, 2011 #1 juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini.......
juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini.......
Mungi JF Gold Member Joined Sep 23, 2010 Posts 16,975 Reaction score 9,580 Dec 2, 2011 #2 Nchi imeshapigwa bei Mkuu!
TOWNSEND JF-Expert Member Joined May 8, 2011 Posts 2,598 Reaction score 460 Dec 2, 2011 #3 hawana mipaka wanchukuwa madini popote yalipo eti tunafaidika na ajira
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,202 Reaction score 8,781 Dec 2, 2011 #4 Tumethubutu, Tumeweza, Tunasonga Mbele!
mamaWILLE Senior Member Joined Jul 27, 2011 Posts 151 Reaction score 39 Dec 2, 2011 #5 barter trade imefanyika hapo, chukua NET unimepe MADINI,
NGUVUMOJA JF-Expert Member Joined Jul 1, 2011 Posts 1,347 Reaction score 329 Dec 2, 2011 #6 Bush kaja kuwinda Digidigi na Pofu, sisi tumeachiwa upofu na uziwi tu.
Idimulwa Platinum Member Joined May 27, 2011 Posts 5,102 Reaction score 2,682 Dec 2, 2011 #7 galus saanane said: juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini....... Click to expand... Uwiiiiiiiiiii,liwelelo bagosha......twite buli shiiiiiiiii!!???
galus saanane said: juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini....... Click to expand... Uwiiiiiiiiiii,liwelelo bagosha......twite buli shiiiiiiiii!!???
Mwita25 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2011 Posts 3,831 Reaction score 1,173 Dec 2, 2011 #8 Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika!
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,430 Dec 2, 2011 #9 PakaJimmy said: Tumethubutu, Tumeweza, Tunasonga Mbele! Click to expand... PJ tumesonga mbele ipi?
Adrian Stepp R I P Joined Jul 1, 2011 Posts 2,764 Reaction score 2,600 Dec 2, 2011 #10 Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... tatizo lako huwaga una homa za vipindi kama kipindu pindu..hutabiriki
Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... tatizo lako huwaga una homa za vipindi kama kipindu pindu..hutabiriki
shizukan JF-Expert Member Joined Jan 16, 2011 Posts 1,158 Reaction score 564 Dec 2, 2011 #11 Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... Lazima tulalamike, hakuna mfugaji anayependa kutembelewa na mbwa mwitu
Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... Lazima tulalamike, hakuna mfugaji anayependa kutembelewa na mbwa mwitu
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 54,071 Reaction score 43,171 Dec 2, 2011 #12 Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi marufuku kutembelewa na wageni?
Mwita25 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2011 Posts 3,831 Reaction score 1,173 Dec 2, 2011 #13 shizukan said: Lazima tulalamike, hakuna mfugaji anayependa kutembelewa na mbwa mwitu Click to expand... Huyo unayemuita mbwa mwitu ndiye anayehakikisha kuwa wagonjwa wote wa ukimwi wanapata dawa na kila familia inapata chandarua kwa ajili ya kujikinga na mafua. Je utaendelea kumuita mbwa mwitu tena? Nadhani jibu ni hapana.
shizukan said: Lazima tulalamike, hakuna mfugaji anayependa kutembelewa na mbwa mwitu Click to expand... Huyo unayemuita mbwa mwitu ndiye anayehakikisha kuwa wagonjwa wote wa ukimwi wanapata dawa na kila familia inapata chandarua kwa ajili ya kujikinga na mafua. Je utaendelea kumuita mbwa mwitu tena? Nadhani jibu ni hapana.
Mwita25 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2011 Posts 3,831 Reaction score 1,173 Dec 2, 2011 #14 Tbag Hatari said: tatizo lako huwaga una homa za vipindi kama kipindu pindu..hutabiriki Click to expand... Kipindupindu hakina dalili za homa wewe. Utaumbuka bure . Usiwe unatolea mifano wa vitu usivyovijua wewe.
Tbag Hatari said: tatizo lako huwaga una homa za vipindi kama kipindu pindu..hutabiriki Click to expand... Kipindupindu hakina dalili za homa wewe. Utaumbuka bure . Usiwe unatolea mifano wa vitu usivyovijua wewe.
Wambandwa JF-Expert Member Joined Dec 3, 2006 Posts 2,249 Reaction score 833 Dec 2, 2011 #15 galus saanane said: juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini....... Click to expand... These people always has 'permanent' interests with other countries - but never entertain or encourage permanent friendship.... Kumbuka kuna abundant uranium hapa; madini ya kutengeneza nishati.
galus saanane said: juzi Obama katoa slam za UHURU leo GEORGE BUSH na mke wake wamekuja Tanzania kukutana na raisi KIKWETE kuna nini humu "JK TAFAKARI" kuwa makini....... Click to expand... These people always has 'permanent' interests with other countries - but never entertain or encourage permanent friendship.... Kumbuka kuna abundant uranium hapa; madini ya kutengeneza nishati.
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 20,250 Reaction score 13,257 Dec 2, 2011 #16 Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... We punguani nini kutembelewa na Rais wa marekani we unafaidika na nini?usiwe kama kenge mgumba.
Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... We punguani nini kutembelewa na Rais wa marekani we unafaidika na nini?usiwe kama kenge mgumba.
K Kaboya Kenneth JF-Expert Member Joined Aug 4, 2009 Posts 289 Reaction score 280 Dec 2, 2011 #17 Uranium! uranium kwa vyandarua!!?
M MCHUMIA NCHI Member Joined Nov 22, 2011 Posts 96 Reaction score 9 Dec 2, 2011 #18 ritz said: Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi marufuku kutembelewa na wageni? Click to expand... Wewe utakua GASHO!
ritz said: Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi marufuku kutembelewa na wageni? Click to expand... Wewe utakua GASHO!
M MCHUMIA NCHI Member Joined Nov 22, 2011 Posts 96 Reaction score 9 Dec 2, 2011 #19 Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... IRAQ,PALESTINA,AFGANISTAN etc.
Mwita25 said: Nchi gani isiyopenda kutembelewa na Rais wa Marekani? Badala ya kufurahi mitanzania inalalamika! Click to expand... IRAQ,PALESTINA,AFGANISTAN etc.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Dec 2, 2011 #20 ritz said: Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi marufuku kutembelewa na wageni? Click to expand... hivyo hivyo unavyofikiria..
ritz said: Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi marufuku kutembelewa na wageni? Click to expand... hivyo hivyo unavyofikiria..