Lubuva na uzee wake wote ni mnafiki. It is a pity alifanyaje ujaji miaka yote kwa mtu wa hali hii! Mzee wangu unahangaika na nini, una miaka mingapi ya kuishi duniani at this age. Ni muda wa kuwa mkweli kuitafuta "mbingu" na siyo ya dunia tena.Tume ya uchaguzi kurudisha B.12 ilihali ilikua inawalipa fedha kidogo wahusika ni halali kwa wao kusifiwa au tuwasifie waliokubali kufanya zoezi lile kwa malipo kidogo kuonyedha uzalendo?