Imani Minja
Member
- Nov 13, 2007
- 21
- 10
Leo Tarehe 28/09/2015 Nimeshuhudia jambo ambalo nila kushangaza na kuhuzunisha sana hasa katika kipindi hiki ambacho Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wengine wa uchaguzi wakiwepo polisi wanatakiwa kutenda sawa kwa wagombea wote.
Toka asubuhi wakati Mgombea wa CCM Dr. Magufuli anatako hotelini Saivila iliyopo maeeneo ya Gangilongo magaria yamekuwa yakisimamishwa kwa muda mrefu kupisha msafara wa mgombea huyo kupita.
Jambo hili limekuwa kero kubwa kwa watumiaji wa bara bara ukizingatia kwamba huyu ni mgombea kama wagombea wengine na hana haki kisheria na kiutaratibu kupewa heshima na ulinzi kama anaoendelea kupata.
Hivyo nashauri Polisi itende haki kwa kufuata sheria na taratibu zilizopo. Tume kemeeni hili hara iwezekanavyo ili muweze kujenge imani miongoni mwa wapiga kura na watanzania wote kwa ujumla.
Toka asubuhi wakati Mgombea wa CCM Dr. Magufuli anatako hotelini Saivila iliyopo maeeneo ya Gangilongo magaria yamekuwa yakisimamishwa kwa muda mrefu kupisha msafara wa mgombea huyo kupita.
Jambo hili limekuwa kero kubwa kwa watumiaji wa bara bara ukizingatia kwamba huyu ni mgombea kama wagombea wengine na hana haki kisheria na kiutaratibu kupewa heshima na ulinzi kama anaoendelea kupata.
Hivyo nashauri Polisi itende haki kwa kufuata sheria na taratibu zilizopo. Tume kemeeni hili hara iwezekanavyo ili muweze kujenge imani miongoni mwa wapiga kura na watanzania wote kwa ujumla.