CHICHIEMU byeeeeeeeeeeeeeeeee CDM tutashinda tena arusha, Segerea, Sumbawanga mjini, Singida mashariki, Ubungo na kukinge kokote ambako uchaguzi mdogo utatokea...... tutanataka kuwaonesha ccm kuwa 2015 tunachukua nchi na kwa muda wa miaka mitano tutaifanya kazi mara mia zaidi ya walioifanya miaka hamsini ya UHUNI WAO....VIVA CHADEMA.