Tumaini makumira-mbeya

Tumaini makumira-mbeya

salimsalim

Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
9
Reaction score
4
Kama unataka kufahamu lolote kuhusu hiki chuo nipo taari kukufahamisha , karibu sana
 
Kama unataka kufahamu lolote kuhusu hiki chuo nipo taari kukufahamisha , karibu sana
Hivi nacho ni chuo kikuu? Mie nikajua bado ni certificate. Wahadhiri 88% ni bachelors holder, ni mojawapo ya vyuo vinavyotakiwa kufungiwa KWA kutokidhi viwango
 
Hivi nacho ni chuo kikuu? Mie nikajua bado ni certificate. Wahadhiri 88% ni bachelors holder, ni mojawapo ya vyuo vinavyotakiwa kufungiwa KWA kutokidhi viwango

first year wa UDSM utamjua tu
 
first year wa UDSM utamjua tu
Unapopasema nilipita miaka9 iliyopita, kiukweli nenda one day pale utajionea, sio kuwa naongea from know where napafaham vizuri palivyo, wahadhiri n.k ila ukweli utabaki pale pale hakina hadhi ya kuitwa university
 
Unapopasema nilipita miaka9 iliyopita, kiukweli nenda one day pale utajionea, sio kuwa naongea from know where napafaham vizuri palivyo, wahadhiri n.k ila ukweli utabaki pale pale hakina hadhi ya kuitwa university
From know where = from no where
 
Back
Top Bottom