Tumaini Makene: CHADEMA ni mmiliki wa makao makuu yake

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
Afisa habari ya chadema makao makuu Be Tumaini Makene amesema kuwa chama cha demokrasia na maendeleo chadema ni mmiliki halali wa jengo la makao makuu.

Akieleza Kiongozi huyo wa makao makuu amesema " chadema ni mmiliki halali wa makao makuu yake chini ya Baraza la Wadhamini hizo habari zinazozagaa mzipuuze".

Akionyesha hati ya jengo hilo Afisa habari huyo ambayo imeandikwa mmiliki wa Jengo hilo ni CHADEMA na huku akisisitiza watu wapuuzie propaganda hizo ambazo zinapanga kuwaada wanachama na watanzania kwa ujumla.

Hii imetokana na uzushi kusambaa kuwa mmliki wa jengo hilo la ufipa amekipa siku 14 chama hicho kuhama kwenye jengo hilo sababu ya kushindwa kulipa kodi ya pango.
 
Lumumba tuwaombee, maana wamevurugwa na nguvu ya chadema.

Mwenyekiti wa chama cha kijani taifa nusura apige magoti jana kuwashukuru wananchi kwa kuzirejesha tena kata zake 19. ukiona hivyo ujue hali ilikuwa tete.
 
Tafuta ukweli kati ya Biblia na Qur'an ipi inayo sema ukweli kisha ndio uifuate. Mungu amekupa akili itumie akili yako kupata ukweli wa mambo. Sio tu kufuata mkumbo wa watu tumia akili yako utajuwa Dini gani ya wewe kukuongoza na kukupeleka peponi.
mkuu dini haimpeleki mtu mbinguni hata siku 1,,Imani yako ambayo UDHIILISHWA NA MATENDO YAKO ndio kitu PEKEE kitakachokupeleka MBINGUNI,,husifikilie kushinda makanisani na misikitini au kuvaa Lozari na kanzu kila siku basi ndio funguo ya kuiona Pepo
Afisa habari ya chadema makao makuu Be Tumaini Makene amesema kuwa chama cha demokrasia na maendeleo chadema ni mmiliki halali wa jengo la makao makuu.

Akieleza Kiongozi huyo wa makao makuu amesema " chadema ni mmiliki halali wa makao makuu yake chini ya Baraza la Wadhamini hizo habari zinazozagaa mzipuuze".

Akionyesha hati ya jengo hilo Afisa habari huyo ambayo imeandikwa mmiliki wa Jengo hilo ni CHADEMA na huku akisisitiza watu wapuuzie propaganda hizo ambazo zinapanga kuwaada wanachama na watanzania kwa ujumla.

Hii imetokana na uzushi kusambaa kuwa mmliki wa jengo hilo la ufipa amekipa siku 14 chama hicho kuhama kwenye jengo hilo sababu ya kushindwa kulipa kodi ya pango.
 
Afisa habari ya chadema makao makuu Be Tumaini Makene amesema kuwa chama cha demokrasia na maendeleo chadema ni mmiliki halali wa jengo la makao makuu.

Akieleza Kiongozi huyo wa makao makuu amesema " chadema ni mmiliki halali wa makao makuu yake chini ya Baraza la Wadhamini hizo habari zinazozagaa mzipuuze".

Akionyesha hati ya jengo hilo Afisa habari huyo ambayo imeandikwa mmiliki wa Jengo hilo ni CHADEMA na huku akisisitiza watu wapuuzie propaganda hizo ambazo zinapanga kuwaada wanachama na watanzania kwa ujumla.

Hii imetokana na uzushi kusambaa kuwa mmliki wa jengo hilo la ufipa amekipa siku 14 chama hicho kuhama kwenye jengo hilo sababu ya kushindwa kulipa kodi ya pango.
hamuoni aibu makao makuu kuwa kwenye nyumba ya chumba na sebulee.
 
Ile habari ililetwa kwa lengo la kutaka kufunika habari ya makampuni ya simu kupunguza wafanyakazi na ITV kushindwa kulipa watumishi wake kutokana na hali ya kiuchumi ilivyo kwa sasa.

Hebu mjijenge kwenye siasa za maana acheni kuviziavizia.....

Wekeni mikakati ya kisiasa oooooooh Mara sukari,Mara udicteta,maraaaa njaaaa,Mara ooooooooo
 
Back
Top Bottom