GE2025 Tuma salaam kwa Wajumbe

GE2025 Tuma salaam kwa Wajumbe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
847
Reaction score
1,613
Ratiba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inaonesha kuwa leo Agosti 4, 2025 ni siku ya Mikutano Mikuu ya Kata/Wadi na Jimbo kupiga Kura za maoni za Wagombea wa Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na Udiwani wa Kata/Wadi upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.

Hiyo inamaanisha Wajumbe waanza mchakato wa kuwachagua wawakilishi wao, Je, kiongozi unayemtegemea atatoboa kwa Wajumbe?

IMG_9359.png

 
Back
Top Bottom