Wale mliosikiliza Clouds FM leo mtakubaliana na mimi moja kwa moja. Kwa wengine someni hizi facts;
1. Hajawahi kuonyesha presidential power ya kumtisha mtu
2. Hamna alichofanya zaidi ya kujaribu kutekeleza aliyoyaacha mkapa
3. Wananchi wameshindwa kutofautisha urais na usanii au uafisa miradi
4. Mfumuko wa bei ni proof kwamba hakukua na rais anaecontrol nchi.