Isemee nafsi yako.Watanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.
We hapo Tangibovu muda huu umeshaamka na kuwaza mambo ya dikteta. Ama kweli vyuma vimekaza ....Watanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.
Kwani mkuu katika vyote ulivyotaja hapo kuna sehemu hao watanzania walisema wanataka dikteta ili aje kushughulikia wapinzani wake kimawazo na kimsimamo?Watanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.
We mwenyewe akili yako kisoda utamuelewa kweli great thinker JPM? Kuzakuza kwanza akili yako sisimizi hawezi kumchunguza temboKwani mkuu katika vyote ulivyotaja hapo kuna sehemu hao watanzania walisema wanataka dikteta ili aje kushughulikia wapinzani wake kimawazo na kimsimamo?
Waliotaka dikteta walitaka mtu mwenye maamuzi ya akili kushughulika na hayo mambo uliyotaja hapo, je mmempata?
Maniner.... punguza konyagiAcha uboya unaparamia watu wewe unanijua sana??aliyekwambia naishi Africa nani mimi nikaishi katika bara kila kukicha nivita!
Uandishi wako pekee ni dalili tosha kuwa you are also a victim in the center of the dictatorship grip.Dictator Wa plastic..uzuri uwe dictator hata upstairs ziwemo..jamaa he's not smart at all..hewa tupu..hata thinking na anavo behave unajua kbs MTU hiyu kuna walakini
You are wrong mkuu,JPM sio dictator, you have taken the words of fools out of context.Fools nikiwa na maana ya watu waliotumbuliwa kwa sababu moja au nyingine.Mafisadi hawampendi JPM kwa sababu wizi wao umekuwa blocked, kwa hiyo maisha hao yana hang in the balance.Watu hawa wanachojaribu kufanya ni kum-discredit rais by whatever means possible, ili aonekane kwamba hafai,but believe me,JPM is the best President this country has never had.Watanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.
Una maanisha raisi ni dictator??Watanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.