mkanda tumboni
Member
- Jun 7, 2017
- 94
- 147
Kuongea/kutoa dukuduku ni hatua ya kutatua tatizo. Hongera kwa kufunguka.kitu nilichojifunza maisha usije ukamsadia mtu kwa moyo wako wote ukitegemea kuna siku nawewe atakuja kukusaidia,hakuna icho asee yani kuna binadamu zaidi ya kumi nimewasaidia sasa wana maisha mazuri ndugu yao nimefirisika hata salamu hawanipi.
Yani nimefuga mbwa alafu wananibwekea wenyewe.
UKIWEPO WEWE NYANI NGABU
shukrani mkuu moyo unapumbua sasa mana lilinikaa kooniKuongea/kutoa dukuduku ni hatua ya kutatua tatizo. Hongera kwa kufunguka.
hakikaTenda wema uende zako,
Usingoje shukrani ...
kweli nduguHahahahaha isee majuto mjukuu
nimeanza upya japo sio ujingaKujikwaa sio kuanguaka pambana bado una nafasi ya kua juu zaid
nimejifunza sana nawaasa na nyie ndugu zangujikaze mkuu usifanye mistake tena kwa miaka mitano ijayo
kitu nilichojifunza maisha usije ukamsadia mtu kwa moyo wako wote ukitegemea kuna siku nawewe atakuja kukusaidia,hakuna icho asee yani kuna binadamu zaidi ya kumi nimewasaidia sasa wana maisha mazuri ndugu yao nimefirisika hata salamu hawanipi.
Yani nimefuga mbwa alafu wananibwekea wenyewe.
UKIWEPO WEWE NYANI NGABU