Tuliowahi kuwa na maisha mazuri na sasa yametupiga chenga njooni tutete

Jun 7, 2017
94
147
kitu nilichojifunza maisha usije ukamsadia mtu kwa moyo wako wote ukitegemea kuna siku nawewe atakuja kukusaidia,hakuna icho asee yani kuna binadamu zaidi ya kumi nimewasaidia sasa wana maisha mazuri ndugu yao nimefirisika hata salamu hawanipi.

Yani nimefuga mbwa alafu wananibwekea wenyewe.

SHUKRANI KWAKO NYANI NGABU UNA ROHO NZURI SANA
 
Kuongea/kutoa dukuduku ni hatua ya kutatua tatizo. Hongera kwa kufunguka.
 
KILA MMOJA ANAFANYA MAKOSA MAISHANI IWE KIMAISHA AU KIMAHUSIANO N.K...CHA MUHIMU NI KUSONGA MBELE HAKUNA KUKATA TAMAA
 
Ukimsaidia mtu usisubiri shukurani, Mungu atakuinulia mtu mwingine usiemtegemea akawa msaada mkubwa kwako.wewe endelea kutenda mema ipo siku utalipwa usipozimia moyo.
 


Nyani Ngabu amekufanyaje umuandame kiasi hicho? Umeandika vitu vya maana hapo juu ila ulivyomalizia mwisho nikajua umekosea jukwaa, ilitakiwa iwekwe jukwaa la jokes.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…