Tuliopo club element mda huu tujuane

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,837
Walimu mda huu wamelala najua hilo, tuliobak hatuna kuuliza bei sisi tunaagiza after use tunadai invoice. Nipo hapa Haile Selassie ndani ya ukumbi wa element club lounge and bar

Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.
 
Walimu mda huu wamelala najua hilo, tuliobak hatuna kuuliza bei sisi tunaagiza after use tunadai invoice. Nipo hapa Haile Selassie ndani ya ukumbi wa element club lounge and bar

Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.
Walimu wamelala
 
Walimu mda huu wamelala najua hilo, tuliobak hatuna kuuliza bei sisi tunaagiza after use tunadai invoice. Nipo hapa Haile Selassie ndani ya ukumbi wa element club lounge and bar

Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.

Mkuu ukimaliza hapo Karibu Hallo Jua tujumike
 
Walimu mda huu wamelala najua hilo, tuliobak hatuna kuuliza bei sisi tunaagiza after use tunadai invoice. Nipo hapa Haile Selassie ndani ya ukumbi wa element club lounge and bar

Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.
Ni mwendo wa bucket Tu.
 
Sisi walimu Mara ya mwisho kwenda club ilikua kipindi Nyerere anakaribia kutoka madarakani. Awamu zilizofuata ni njaaa na madeni tu. Mpaka visungura tunakopa tena kwa mbinde maana sisi sio walipaji wazuri
 
Back
Top Bottom