Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Walimu mda huu wamelala najua hilo, tuliobak hatuna kuuliza bei sisi tunaagiza after use tunadai invoice. Nipo hapa Haile Selassie ndani ya ukumbi wa element club lounge and bar
Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.
Njooni basi tujuane kama mpo, napiga zangu Windhoek taratibu mda huu. Please kama unapesa za kuhesabu Kwa mkono usije, staki lawama sisi huwa tunamwaga bia mezani bila kupiga hesabu. Staki wakuuliza bei.