MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Kitu kizuri siku zote akiwezi kuonekana wakati unacho, Mara TU utakapokipoteza ulichonacho ndipo utaona uzuri wake.
Mhe. Rais anafanya haya yanayotekea kwa sababu labda mazingira yanamfanya afanye hivyo, uzuri wa haya anayoyafanya si rahisi sisi tuliowengi kuyaona ila siku itafika pale ambapo nukuu za matamshi yake zitaanza kutumika kuiongoza jamii pakwenda.
Tuwe wavumilivu maadamu tumemkabidhi nchi huku tukiiombea Tanzania iwe salama kuruhusu ujio wa utawala mpya.Tusipoiombea Tanzania tukamwombea Rais pekee yamkini matendo yake machache yasiyomazuri yanaweza kutusababisha tukashindwa kuelewana na kufarakana, lakini tukiliombea taifa basi tutakuwa na ivumilivu wa kukemeana na mwisho tutafika atakapotufikisha na akishuka Basi tutamtafuta dereva mpya wakufukia mashimo na nyufa za JPM.
Tuelekeze maombi na Dua zetu kwa mama Tanzania, Tanzania ikiwa mikononi mwa Mungu hata viongozi wake watakuwa mikoni mwa Mungu na watatuvusha salama.
Mhe. Rais anafanya haya yanayotekea kwa sababu labda mazingira yanamfanya afanye hivyo, uzuri wa haya anayoyafanya si rahisi sisi tuliowengi kuyaona ila siku itafika pale ambapo nukuu za matamshi yake zitaanza kutumika kuiongoza jamii pakwenda.
Tuwe wavumilivu maadamu tumemkabidhi nchi huku tukiiombea Tanzania iwe salama kuruhusu ujio wa utawala mpya.Tusipoiombea Tanzania tukamwombea Rais pekee yamkini matendo yake machache yasiyomazuri yanaweza kutusababisha tukashindwa kuelewana na kufarakana, lakini tukiliombea taifa basi tutakuwa na ivumilivu wa kukemeana na mwisho tutafika atakapotufikisha na akishuka Basi tutamtafuta dereva mpya wakufukia mashimo na nyufa za JPM.
Tuelekeze maombi na Dua zetu kwa mama Tanzania, Tanzania ikiwa mikononi mwa Mungu hata viongozi wake watakuwa mikoni mwa Mungu na watatuvusha salama.