Pawa Semindu Pawa (Morogoro Kusini Mashariki).....sijui yuko wapi huyu kwasasa!
<br /><font size="3">Huyu jamaa (Pawa Semindu Pawa) alikuwa very talkactive! ndani, na nje ya Bunge.</font>
<br /><br />nafikiri kali iliyomshtua kila mtu ni kijana aliyekuwa hajulikani kwa kiwango chochote (wakati huo) paschal mabiti alipomwangusha mwansiasa maarufu na mkongwe nchini aliyejulikana pengine zaidi ya wote kutoka kanda ya ziwa kwa sifa na umahiri kem kem ndani na nje ya nchi (wakati huo) paul bomani (RIP) mwanza mjini (mwaka sina hakika). <br /><br />
<br /><br />
<u>off point;<br /><br />
</u>rekodi ya fitina kubwa zaidi ya kisiasa katika kuwania ubunge nchini iliwekwa na jaji joseph warioba mwaka 1990 (akiwa anamalizia malizia uwaziri mkuu wa kipindi cha kwanza cha rais mstaafu mwinyi) dhidi ya manyama mkondya katika jimbo la bunda mkoani mara.
Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..
Duh! Huyu Paschal Mabiti mkuu wa wilaya? Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..
<br /><br />
<br /><br />
Duh! Huyu Paschal Mabiti mkuu wa wilaya? Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..