chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Asilimia kubwa ya hapa kwetu wote tunatumia gari za Toyota.
ila kiukweli kuna gari zilizofanya vizuri na zengine zilifanya vibaya kama kichwa cha habari hapo juu.
Na kumbuka IST ilivotoka mwanzoni yani ilifanya vizuri sana kimauzo ila ilivotoka new model yake kama ikaishiwa kupendwa.
Kuna magari yalitengenezwa ila yakaongoza kwa ubovu kama passo,brevis na n.k
Toyota gari zinazompa jina ni haya land cruser na hilux zinazo nunuliwa sana na taasisi binafsi ,serikali na watu binafsi.
Gari gani unaona toyota ilizingua na isiyozingua
ila kiukweli kuna gari zilizofanya vizuri na zengine zilifanya vibaya kama kichwa cha habari hapo juu.
Na kumbuka IST ilivotoka mwanzoni yani ilifanya vizuri sana kimauzo ila ilivotoka new model yake kama ikaishiwa kupendwa.
Kuna magari yalitengenezwa ila yakaongoza kwa ubovu kama passo,brevis na n.k
Toyota gari zinazompa jina ni haya land cruser na hilux zinazo nunuliwa sana na taasisi binafsi ,serikali na watu binafsi.
Gari gani unaona toyota ilizingua na isiyozingua