Leo tarehe 14-09-2021, kampuni ya Apple inatarajia kuzindua ama kutambulisha bidhaa mpya sokoni. Bidhaa hizo zinazotegemewa kuzinduliwa ni Apple iPhone 13, Apple watch 7, AirPods 3, iPad mini na bidhaa nyingine.
Tukio linategemewa kuanza saa 2 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.