Tukio la Unyanyasaji!¡!!?

Sowo

Senior Member
Joined
Jun 22, 2014
Posts
141
Reaction score
59
Kuna watu wapatao wanne ambao inasemekana ni askari wa jwtz wanawapiga vijana 2 ambao inasemekana ni vibaka ambao walimwibia askari.
Vijana hawa wanapigwa na kufanyishwa mazoezi ya kuruka kichura, huku wakimwagiwa maji kiasi uhai wao upo hatarini.
Zoezi hilo linaendelea muda huu maeneo ya Machimbo Mwisho wa Lami (Jet).
 
Picha zipo wapi???Ila machimbo mwisho wa lami kuna vibaka wa kisenge sana acha tu wale madoso
 
Tafuta Angle nzuri uwapige picha
 
Toa taarifa polisi acha ujinga, wakifa utajilaumu maisha yako yote au ita wananchi, askari hao sio mahakama, huenda ugomvi wa mapenzi
 
Kumbe ni wezi sasa mbona ni haki yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…