Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Haika tena Old Trafford sio theatre of dreams bali imekuwa ni theatre of nightmares.
Ni kweli glazers wanazingua, ila tukumbuke ETH ameshatumia 400ml katika usajili, hii 400ml ambayo karibia klabu tatu hivi za utajiri wa chini zilizo juu ya Man Utd katika msimamo hazijatumia hio pesa misimu kadhaa.
Mimi nadhani recruitment ya wachezaji ilikuwa mbovu chini ya ten hag. Huyu antony amenunulia 100ml wakati akiwa na stats za chini sana na huku akiangalia zaidi potential yake. Lakini potential tulikuwa nazo academy kwa garnacho na pellistri.
Juzi amemchukua mount. Kwa aina midfield tuliyonayo haikuhitaji mount na bruno pamoja, angalia sasa tunavyopwaya.
So nafikiri cha zaidi ni kupata head of football operations au sporting director, ambae ni mzoefu na alieko technical zaidi ili recruitmet za wachezaji ziwe za maana.
Pia ukweli ni kwamba tactics za eth nashindwa kuelewa ni kwamba zimekataa au wachezaji hawaziwezi. Maana hadi sasa sijaona identity maalum katika hii team yani wanacheza kama hawajui wanachofanya.
Kipi unaona cha kudhibiti pale OLD TRAFFORD, Toa maoni.
Ni kweli glazers wanazingua, ila tukumbuke ETH ameshatumia 400ml katika usajili, hii 400ml ambayo karibia klabu tatu hivi za utajiri wa chini zilizo juu ya Man Utd katika msimamo hazijatumia hio pesa misimu kadhaa.
Mimi nadhani recruitment ya wachezaji ilikuwa mbovu chini ya ten hag. Huyu antony amenunulia 100ml wakati akiwa na stats za chini sana na huku akiangalia zaidi potential yake. Lakini potential tulikuwa nazo academy kwa garnacho na pellistri.
Juzi amemchukua mount. Kwa aina midfield tuliyonayo haikuhitaji mount na bruno pamoja, angalia sasa tunavyopwaya.
So nafikiri cha zaidi ni kupata head of football operations au sporting director, ambae ni mzoefu na alieko technical zaidi ili recruitmet za wachezaji ziwe za maana.
Pia ukweli ni kwamba tactics za eth nashindwa kuelewa ni kwamba zimekataa au wachezaji hawaziwezi. Maana hadi sasa sijaona identity maalum katika hii team yani wanacheza kama hawajui wanachofanya.
Kipi unaona cha kudhibiti pale OLD TRAFFORD, Toa maoni.