Hii ni tabia ya asili tuwapuuze😀Shida ya wafrika. Ukishachangia, wanaanza kujadili comment yako badala ya wao kutoa njia zingine au kukosoa kwa hoja. Hongera sana. Japokuwa wanakuponda, lakini umeweza kuonesha njia moja kati ya njia nyingi zinazotumika kutoa FRP kwenye simu. Nishaacha siku nyingi sana kuchangia mawazo yanahusu teknolojia kwenye mitandao ya waswahili. Ndiyo maana sijatoa hata njia moja na sitaweza. Huwa nachangia kwenye magroup na forum za wahindi maana hao wanajua. Unabishana kwa hoja kwa lengo la kuelimishana.
Unaanza kutumia mali yako, au ya wizi au ya kuokota naam inategemeanaukisha i bypass hiyo FRP nini faida yake
sim ni yakwangu natumia siku zote kuna tatizo gani ikiwepo na faida gani ikitoka?Unaanza kutumia mali yako, au ya wizi au ya kuokota naam inategemeana
Mfano una simu ambayo inafanya kazi kawaida lakini ikaleta tatizo ambalo unaamua kufanya factory reset, na baada ya hapo simu itakuwa fresh.sim ni yakwangu natumia siku zote kuna tatizo gani ikiwepo na faida gani ikitoka?
ok noted ila kwa sisi huku jelly been huwa tuna unda account nyingine tu mambo yanaendaMfano una simu ambayo inafanya kazi kawaida lakini ikaleta tatizo ambalo unaamua kufanya factory reset, na baada ya hapo simu itakuwa fresh.
Sasa shida inakuja pale unapofanya factory reset au hata hard reset kwa simu zilizogoma kuwaka kabisa, mara baada ya hii process ya reset kuisha utatakiwa uingize account/details ambayo ilikuwa inatumika hapo kabla hii inajumuisha email na password za Google account na Kama umesahau hapo simu haifunguki wala hautaweza kuitumia simu yako tena.
Kwa hiyo sasa ndo tunatafuta solution maana hatuwezi kutupa simu hiyo basi utakutana na moja ya solution ambayo inakwenda kwa jina la frp bypass hii ni njia ya kuforce simu isahau kama ilishawahi kutumika so ukifanikiwa kubypass frp(kizuizi) basi utaruhusiwa kuweka detail mpya tofauti na zile zingine zilizokuwepo hapo hawali na simu itafunguka hiyo ndo faida ya frp bypass.
NB Simu zilizowezesha kuwa na frp ni kuanzia zile zenye android 5++.
Na zenye 4-- hazina.
Sijui kama nilikuelewa ila nadhani umenipata.
Si kuna button ya kurudi nyuma pale chini mzee. Kupata lile box la kutype kitu unatakiwa kubonyeza add new network manually then ndo utaipata. Alaf sshv google wana akili, ukibonyeza link yoyote iliuende Chrome hyo link itafunguka mule mule ndani ya hyo app. So kuipata chrome ni kupitia app ambayo sio ya Google kma simu zinazokujaga Xender au Custom keyboardswewe umeeelwa uzii kwelii?? simu ipo kwenye hali hio kwenye picha juu utainstall vp ?? na wale wa simu za kupewa na kuokota umeikuta hivo utatoajeeee ??? usifikiri google wapuuuzi heeee
Quick shortcut naona huwa inafanya kazi hasa kwenye Tecno na InfinixMm hutumia Quick shortcut marker kwa sababu ni njia rahisi
Hyo ni lazima polisi na tcra wahusike sabab wao tu ndio wenye access na imei number za watu. And it's for security reasons. Huwezi mpa mtu yoyote tu access kwa mfumo unaoonesha imei number na detail za watusoftware ipi au site ipi naweza track imei ya simu yangu bika msaada wa polisi
Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Hii ni moja ya njia rahisi hasa kwa simu za zamani lakini sikuhizi Google wameongeza security kwa simu nyingi mpya. Na hii inapelekea kunakua na njia nyingi za kuondoa "FRP"Google account manager, Can do all that.
Type neno lolote, long press hilo neno inakuja option ya assist tumia hiyo kufungua Chrome browser, search google account manager apk, download it na install, kisha add google account kwa kutumia hiyo, back to the verification page, ingiza email mpya ulioadd, itafunguka, then remove the oldest one.
You are done.
Duuuuh.ukisha i bypass hiyo FRP nini faida yake
ndio sasa unatoaje ulinzi kwenye device yako mwenyewe vinginevyo labda ni wiziDuuuuh.