Tujuzane Software nzuri za kutoa FRP 2019

Hii ni tabia ya asili tuwapuuze😀
 
sim ni yakwangu natumia siku zote kuna tatizo gani ikiwepo na faida gani ikitoka?
Mfano una simu ambayo inafanya kazi kawaida lakini ikaleta tatizo ambalo unaamua kufanya factory reset, na baada ya hapo simu itakuwa fresh.

Sasa shida inakuja pale unapofanya factory reset au hata hard reset kwa simu zilizogoma kuwaka kabisa, mara baada ya hii process ya reset kuisha utatakiwa uingize account/details ambayo ilikuwa inatumika hapo kabla hii inajumuisha email na password za Google account na Kama umesahau hapo simu haifunguki wala hautaweza kuitumia simu yako tena.

Kwa hiyo sasa ndo tunatafuta solution maana hatuwezi kutupa simu hiyo basi utakutana na moja ya solution ambayo inakwenda kwa jina la frp bypass hii ni njia ya kuforce simu isahau kama ilishawahi kutumika so ukifanikiwa kubypass frp(kizuizi) basi utaruhusiwa kuweka detail mpya tofauti na zile zingine zilizokuwepo hapo hawali na simu itafunguka hiyo ndo faida ya frp bypass.
NB Simu zilizowezeshwa kuwa na frp ni kuanzia zile zenye android 5+.

Na zenye 4- hazina.

Sijui kama nilikuelewa ila nadhani umenielewa.
 
ok noted ila kwa sisi huku jelly been huwa tuna unda account nyingine tu mambo yanaenda
 
wewe umeeelwa uzii kwelii?? simu ipo kwenye hali hio kwenye picha juu utainstall vp ?? na wale wa simu za kupewa na kuokota umeikuta hivo utatoajeeee ??? usifikiri google wapuuuzi heeee
Si kuna button ya kurudi nyuma pale chini mzee. Kupata lile box la kutype kitu unatakiwa kubonyeza add new network manually then ndo utaipata. Alaf sshv google wana akili, ukibonyeza link yoyote iliuende Chrome hyo link itafunguka mule mule ndani ya hyo app. So kuipata chrome ni kupitia app ambayo sio ya Google kma simu zinazokujaga Xender au Custom keyboards
 
software ipi au site ipi naweza track imei ya simu yangu bika msaada wa polisi

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Hyo ni lazima polisi na tcra wahusike sabab wao tu ndio wenye access na imei number za watu. And it's for security reasons. Huwezi mpa mtu yoyote tu access kwa mfumo unaoonesha imei number na detail za watu
 
Hii ni moja ya njia rahisi hasa kwa simu za zamani lakini sikuhizi Google wameongeza security kwa simu nyingi mpya. Na hii inapelekea kunakua na njia nyingi za kuondoa "FRP"

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo tuseme hakuna app inayoweza kutoa frp kwenye TECNO WX3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…