tulidumu kwenye mahusiano ya kuoana zaidi ya miaka 15...tangia shuleni
asalalee walahi..alivyokuja kuni ditch,sikutegemea.!!
mumewe ndiye wakuniambia '..huyu P ni mke wangu wa ndoa..'
tena baada ya miaka 2 kupita,huku nikiendelea kuwasiliana naye...nikijua ni wangu wa kuzikana
Sent using
Jamii Forums mobile app