BEST ONE BOY
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 309
- 221
Masters ni nini chifu?sijaanza mapenzi mpaka nipate masters ndo ntaanza kuwa na girlfriend ngoja wanakuja mkuu
ni wale jamaa waliofuzu kung fu nchini China ndo mastersMasters ni nini chifu?
Mkuu kuna dada angu hapa 😊sijaanza mapenzi mpaka nipate masters ndo ntaanza kuwa na girlfriend ngoja wanakuja mkuu
serious mkuu??? emu nipe no yake buradhaMkuu kuna dada angu hapa 😊
Anatafuta mwenye masters hivyo kazi unayo Mkuu😴😴😴serious mkuu??? emu nipe no yake buradha
hahahaha
ngoja niendelee kukaza mkuu mwambie mume mtarajiwa nipo asiwe na mashaka kabisaAnatafuta mwenye masters hivyo kazi unayo Mkuu😴😴😴
Pole sana aisee.....Hivyo vitu ukikumbuka vinatia hasira mnooo.......me nilimpenda yule mwanaume Fulani yaani mpaka nikawa msukule kiakili ....chochote atakachofanya me nafanya kumuiga kama nakiweza...alikua anaswali swala tano na Mimi kwa kumuonesha nampenda nikaanza kuswali swala tano asee ...ana watoto wawili nlikua nawapenda kama nimewazaa jamani alikua anamiliki 85% ya akili yangu na feelings zangu mweeeeeh nliamini IPO siku nitakua mke wake doooh jangaaaaa ....kumbe bazazi kama mabazazi wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hanitafuti tumepotezana toka mwaka Jana nadhani hata angenitafuta kisirani changu asingekiweza
Hahaaa ipo siku atakutafuta mana sio kwa upendo huo hadi watotoHanitafuti tumepotezana toka mwaka Jana nadhani hata angenitafuta kisirani changu asingekiweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa kutoneshwa jeraha ambalo lilikwishaponaHivyo vitu ukikumbuka vinatia hasira mnooo.......me nilimpenda yule mwanaume Fulani yaani mpaka nikawa msukule kiakili ....chochote atakachofanya me nafanya kumuiga kama nakiweza...alikua anaswali swala tano na Mimi kwa kumuonesha nampenda nikaanza kuswali swala tano asee ...ana watoto wawili nlikua nawapenda kama nimewazaa jamani alikua anamiliki 85% ya akili yangu na feelings zangu mweeeeeh nliamini IPO siku nitakua mke wake doooh jangaaaaa ....kumbe bazazi kama mabazazi wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuaje sasa kuachana aisee hapo parefutulidumu kwenye mahusiano ya kuoana zaidi ya miaka 15...tangia shuleni
asalalee walahi..alivyokuja kuni ditch,sikutegemea.!!
mumewe ndiye wakuniambia '..huyu P ni mke wangu wa ndoa..'
tena baada ya miaka 2 kupita,huku nikiendelea kuwasiliana naye...nikijua ni wangu wa kuzikana
Sent using Jamii Forums mobile app