Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,725
- 45,147
Katika mchezo wa soka kuna wachezaji wamecheza na kustaafu kwa umri mkubwa kama akina Maldini, Giggs, Drogba nk na wengineo wanastafu umri wa kawaida tu. Ila kuna wachache miongoni mwao wanastaafu mapema chini ya miaka 30.
Kufuatia kustaafu mapema kwa Andre Schurrle akiwa na miaka 29 tu, kiungo na mshambuliaji huyo wa Ujerumani ambaye aliwahi kukipiga vilabu kama Dortmund, Weder Bremen, Chelsea, Wolfsburg na vingineo,pia ni mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2014.
Leo tukumbushane wachezaji waliostaafu mapema ilihali bado tulikuwa tunahitaji kuona burudani yao...
Kufuatia kustaafu mapema kwa Andre Schurrle akiwa na miaka 29 tu, kiungo na mshambuliaji huyo wa Ujerumani ambaye aliwahi kukipiga vilabu kama Dortmund, Weder Bremen, Chelsea, Wolfsburg na vingineo,pia ni mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2014.
Leo tukumbushane wachezaji waliostaafu mapema ilihali bado tulikuwa tunahitaji kuona burudani yao...