johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,947
Ama kwa hakika msamaha wa ajabu tuliupataCalvary ukisamehe nawe utasamehewa.
Kile kikosi kazi kilichomshughulikia waziri mkuu mstaafu mzee Lowassa asiweze kutinga hatua ya mtoano kwenye kura za maoni ni kama kimesambaratishwa chote.
Naikumbuka sekretarieti ya CCM wakati ilivyosheheni wakongwe wa propaganda Nape, January, Mwigulu walivomfanyia mtimanyongo Eddo kana kwamba CCM ni urithi wao lakini leo wote wanapumulia mashine.
Mungu na azidi kutusaidia
Jumapili njema
Maendeleo hayana vyao!
Kile kikosi kazi kilichomshughulikia waziri mkuu mstaafu mzee Lowassa asiweze kutinga hatua ya mtoano kwenye kura za maoni ni kama kimesambaratishwa chote.
Naikumbuka sekretarieti ya CCM wakati ilivyosheheni wakongwe wa propaganda Nape, January, Mwigulu walivomfanyia mtimanyongo Eddo kana kwamba CCM ni urithi wao lakini leo wote wanapumulia mashine.
Mungu na azidi kutusaidia
Jumapili njema
Maendeleo hayana vyao!