dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kuna bwana mmoja yeye anajua kila kitu yaani mambo ya Siasa yupo, uchumi yupo, jamii yupo na anagawa hela huyo hatari yaani anatembea na manoti akijiskia anatoa mbele ya kamera.
Katika kipindi cha utawala wake kumezuka mambo mengi ambayo chanzo ni yeye kufanya maamuzi anayoyaita magumu ila hayajawai kuzalisha matokeo.
Kama mtakumbuka jiulize alishashinda au kufanikiwa yapi kata ya haya
1. Sukari - kodi
2. Mafuta ya kula- kodi
3. Cement - kodi
4. Korosho- alikwapua hela ya wakulima na vitisho kwa wanunuzi
5. Makinikia - kazuia kontena kumbe uchawi mikataba
Katika hayo hakuna hata siku moja kafanikiwa2
Katika kipindi cha utawala wake kumezuka mambo mengi ambayo chanzo ni yeye kufanya maamuzi anayoyaita magumu ila hayajawai kuzalisha matokeo.
Kama mtakumbuka jiulize alishashinda au kufanikiwa yapi kata ya haya
1. Sukari - kodi
2. Mafuta ya kula- kodi
3. Cement - kodi
4. Korosho- alikwapua hela ya wakulima na vitisho kwa wanunuzi
5. Makinikia - kazuia kontena kumbe uchawi mikataba
Katika hayo hakuna hata siku moja kafanikiwa2