Tujiandikishe wajameni

Tujiandikishe wajameni

Kikombe1

Senior Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
132
Reaction score
98
Wito muhimu
IMG-20191013-WA0050.jpeg
 
Bar gani hiyo?

Simba imara na Yanga imara huleta hamasa ya kwenda kuangalia mechi ila kama TFF mmeihujumu Simba na imeshuka kiwango kiasi hiki sioni kama kuna mzuka wa kwenda uwanjani.

Samahani kuchanganya mambo ya mpira na uchaguzi.
 
Bar gani hiyo?

Simba imara na Yanga imara huleta hamasa ya kwenda kuangalia mechi ila kama TFF mmeihujumu Simba na imeshuka kiwango kiasi hiki sioni kama kuna mzuka wa kwenda uwanjani.

Samahani kuchanganya mambo ya mpira na uchaguzi.
Ni mfano mkuu umetoa wenye uelewa mpana watakuwa wameelewa.Uchaguzi hoyeee
 
Kujiandikisha ni kwa kulazimishana lakini KUHESHIMU HIZO KURA ni hiari ya msimamizi.
Mwambieni Bashite aje tuu Bar atatukuta tunatwanga mvinyo kwa wakati wetu bila hofu.
Hii inataka kuwa nchi ya kwanza duniani ya kulazimisha watu wake kujiandikisha kupiga kura.
 
watu wa dar ,shikilieni hapohapo,,,,
mwenye nchi alisema mkoa watakao andikisha watu wachache RC ajiandaee,,,,,,,,,
Mungu awape nini tena!!, chance ya kumtoa ndio hiyooooooooo
 
Vipi utakuja na daftari ili kuhakkiki wanywaji kama wamejiandikisha? Kama jina halipo anafanywaje?
 
Vipi utakuja na daftari ili kuhakkiki wanywaji kama wamejiandikisha? Kama jina halipo anafanywaje?
Unakosa ofa, ila kwa walioandikisha sasa zitanyweka kila aina ya pombe mpka ile inayotarajiwa kurasimishwa
 
Mmepita bila kupigwa kama lisu tujiendikishe ili iweje .ccm inapendwa hakuña haja ya kujiandikisha.
 
Back
Top Bottom