Tujiandae kuongezeka kwa drop out shuleni na vyuoni

PintoG

JF-Expert Member
Jun 12, 2017
612
731
Hii likizo ya corona kwa wanafunzi hasa primary na secondary ni hatari japo haizuiliki.

Kuna watoto wa kike ambao angalulau hubanwa na muda wa shule,kwa sasahivi wapo wanahang sana kiasi ambacho ni rahisi sana kumeet na wakware.Ukipita mitaani utaona vitoto vinajizulurisha ,kweny mageto ya washikaji usiseme,vinachapika sana.

Tutegemee drop out nyingi ,wakati watakaporudi shule ,shule zipime mimba mabint wote.

Wito kwa wazazi,muwe makin sana na watoto wetu,muwape program za kuwabana na si kuwachia kutembelea marafik na.ndugu.

Nanyi vijana wakware,muwahurumiee hawa mabinti,najua mnawingi wa nyimbo za kuwawin ila ,midem kitaa imejaa na viuno vyavkuvunja chaga,tatfuneni hiyo.
 
mkuu nadhani ungetahadharisha tujiandae na wimbi kibwa la wanafunzi wa vyuo ku fail,maana kuna vyuo vimeanza online teaching alafu sidhani kama kwa tabia yetu ya kuendekeza siasa tutafanikiwa
as for hao watoto kwani walipomaliza darasa la saba na form 4 hawakukaa nyumbani likizo ndefu ? hii ina u special gani hadi wapate mimba ?
 
Hapa watt wakirudi shuleni wapimwe mimba na wahusika wale 30 tena hizi show wasimamie wakuu Wa mikoa na wilaya walimu wa kuu wengi watakula rushwa
 
Hapa watt wakirudi shuleni wapimwe mimba na wahusika wale 30 tena hizi show wasimamie wakuu Wa mikoa na wilaya walimu wa kuu wengi watakula rushwa
 
mbona likizo ziko nyingi za mwezi wa sita, disemba, hawapati mimba, ndio wapate sasa hivi? acha ujinga wewe , nyie walimu wa tuition mna matatizo sana,
 
mkuu nadhani ungetahadharisha tujiandae na wimbi kibwa la wanafunzi wa vyuo ku fail,maana kuna vyuo vimeanza online teaching alafu sidhani kama kwa tabia yetu ya kuendekeza siasa tutafanikiwa
as for hao watoto kwani walipomaliza darasa la saba na form 4 hawakukaa nyumbani likizo ndefu ? hii ina u special gani hadi wapate mimba ?
Uzoefu unaonesha wakati wa likizo ndo huwa watoto wa kike wanapata sana mimba,na wanaporud shule wakipima wote lazima positive zitokee,kama corona inaendelea maana yake likizo inaendelea..more risk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom