Tujadiliane kuhusu ajira za walimu 2016

Tujadiliane kuhusu ajira za walimu 2016

KAUZUDAGAA

Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
36
Reaction score
4
Kwa mwaka ujao 2016 kuna uwezekano wa kutoa ajira mwezi wa ngapi au ndo ajira hakuna kabisa? Kama una mawazo yeyote karibu tufahamishane.
 
Ajira hakuna kabisa mwaka huu walimu waliajiriwakisiasa tu lakini nafasi za ajira serikalini zimeisha au zipo chache sana.

Kikwete kwenye mei mosi alisema ajira serikalini hazipo, serikali imefikia mwisho wa kuajiri. Anza kuwaza mambo mengine sio ajira za serikali hazipo kabisa mkuu.

Labda zitakuwepo kuanzia mwaka 2019 au 2020 maana utakua ni wakati wa uchaguzi.

Kwa sasa subiri ajira viwandani,viwanda kila mkoa na kila wilaya vinakuja kuanzia mwakani mwezi wa kwanza vitakua tayari mtapata ajora.
 
Ajira hakuna kabisa mwaka huu walimu waliajiriwakisiasa tu lakini nafasi za ajira serikalini zimeisha au zipo chache sana.

Kikwete kwenye mei mosi alisema ajira serikalini hazipo, serikali imefikia mwisho wa kuajiri. Anza kuwaza mambo mengine sio ajira za serikali hazipo kabisa mkuu.

Labda zitakuwepo kuanzia mwaka 2019 au 2020 maana utakua ni wakati wa uchaguzi.

Kwa sasa subiri ajira viwandani,viwanda kila mkoa na kila wilaya vinakuja kuanzia mwakani mwezi wa kwanza vitakua tayari mtapata ajora.

asante kwa kushiriki
 
"Nimesema ajira hakuna,tunashughulika na waliopo kwanza kuwaboreshea maslahi yao ili kazi zifanyike kwa ufanisi"magufuli said
 
Kwa waalimu wa sayansi hakuna tatizo la ajira, kwa wale was Sana'a watakuwa wanajitahidi kusubiri kidogo!
 
Walimu Wa sanaa wamekuwa wengi mno, utakuta shule moja wako 20, adi aibu, ingewezekana wangekuwa hata boom wananyimwa, mtu kasoma kiswahili na English afu anakula loan? Afu inatakiwa serikali ingeangalia hata salary scales zawalimu, hainiiingii akirini, mwlm Wa kiswahili na Wa physics wanakula TGTS D! Wa sayansi wangekuwa wanalamba adi TGTS F, kama inawezekana, maana Mwalimu mmoja Wa physics Sawa na compensation ya walimu 7, Wa art! Ndo mana hakuna QT za sayansi!
 
Akili chache kweli Jacobian, nchi haiendeshwi kwa akili hizo
 
Ualimu ni ualimu tu bila kujua lugha kwanza unahisi hiyo science itaeleweka?make mpaka leo kuna jamii hazijui kuongea wala hazielewi kiswahili muchless English mm naona sote sawa tuu
 
hapa mmegusa panapo,suala zpo au hakuna?kama zpo kwa tetesi ni lini?mambo ya arts na sayansi watajua wenyew,ajira kwanz
 
Mkuu na wew mhanga wa arts nin?maana umeandka kwa manung'uniko mno
 
ukiwa mwalmu wa arts unaishi roho juu sana. Ajira ziwepo au zicwepo sisi wa science hatna shaka.
 
Back
Top Bottom