Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kama nakumbuka ccm walifanya unaitwa uhakiki wa wananchama na wakadai wako mil 20 mwaka 2018 na wanatarajia kufika mil 25 mwaka 2019/20 ikiwa na maana kuwa wao pekee tayari ni ushindi.
Kwa mujibu wa Jafo watu waliokadiriwa kujiandikisha hawajafika hata 20% ya raia waliotarajiwa kujiandikisha.
Kwa hesabu za haraka haraka watu wanaotakiwa kujiandikisha ni almost mil 30 kwa idadi hiyo hapo ccm kati ya hao ni almost 75% sasa inamaana hata wale wanaoitwa wana ccm mil 20 wamekimbia kujiandikisha?
Je ni sababu zipi zinawazuia hata wana ccm kujiandikisha?
Kwa mujibu wa Jafo watu waliokadiriwa kujiandikisha hawajafika hata 20% ya raia waliotarajiwa kujiandikisha.
Kwa hesabu za haraka haraka watu wanaotakiwa kujiandikisha ni almost mil 30 kwa idadi hiyo hapo ccm kati ya hao ni almost 75% sasa inamaana hata wale wanaoitwa wana ccm mil 20 wamekimbia kujiandikisha?
Je ni sababu zipi zinawazuia hata wana ccm kujiandikisha?