Wadau naomba tujadili hii smartphone mpya ya TECNO PHANTOM 6+ , nasikia kua iko fast sana na ni very "handy",
je kuna mtu ameipata na kuitumia atupe details kidogo ikoje.
Kweli ni simu nzuri ila matumizi yake ni mwaka mmoja baada ya hapo kila kitu kimechoka betri, camera na speed hamna full ku stack. Simu za tecno sio mbaya ila hazina durability baada ya mwaka inakuwa spana mkononi. Mi natumia huawei mate 7 toka 2014 haijawahi sumbua chochote na nafikiria kununua tena smartphone 2020 (baada ya miaka sita) sio nitumie laki tano kununua simu ya mwaka mmoja
Kweli ni simu nzuri ila matumizi yake ni mwaka mmoja baada ya hapo kila kitu kimechoka betri, camera na speed hamna full ku stack. Simu za tecno sio mbaya ila hazina durability baada ya mwaka inakuwa spana mkononi. Mi natumia huawei mate 7 toka 2014 haijawahi sumbua chochote na nafikiria kununua tena smartphone 2020 (baada ya miaka sita) sio nitumie laki tano kununua simu ya mwaka mmoja