mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,617
- 4,908
Nimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020..
nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani tukikosea kuchagua tunaumia wote ,
Ni Nani anayefaa kutuongoza Tena kwa miaka mongine mitano mbele uchaguzi wa 2020 na kwanini ? Nitatoa majina yanayojitokeza kugombea uraisi kwa vyama kadhaa Ila na wewe urataja wa kwako kama humu hawamo
CCM
1. John magufuli
2. Bernad membe
CHADEMA
1. Tundu Lissu
ACT
1. Zitto
2. Maalim Seif
CUF
1. Lipumba
Mitazamo wangu:
Mimi nàona JPM bado tunamhitaji Sana kwa miaka mingine mingi ijayo, kwakuwa pamoja na kwamba irani ya chama inasisitiza viwanda lakin kajitahidi kuboresha barabara, umeme , Huduma za kijamii, kuwajali wafanyabiashara , ufisadi umeisha, amefufua ndege , anatengeneza reli ya kisasa, maisha mazuri yanakuja tuwe wavumilivu , nk
Je , wewe una mtazamo gani ??
Hujuia hata unachokiongea, tangu lini cape gauge (3 ft 6 in - TAZARA) ikaitwa standard gage (4 ft 8 1⁄2 in)?- SGR ni kichaa tu atakayeamini kuwa ni mradi wenye manufaa. hivi unajua TAZARA ni SGR pia lakini 90% ya mizigo & abiria ambako reli inapita vinatumia barabara?
Sasa TAZARA serikali imeshindwa kuiendesha. Hata ile ya kati ya TRC inasuasua. Muujiza gani mtafanya muweze kuiendesha hiyo ya umeme kama mradi mdogo tu wa BRT umewashinda?Hujuia hata unachokiongea, tangu lini cape gauge (3 ft 6 in - TAZARA) ikaitwa standard gage (4 ft 8 1⁄2 in)?
Unafahamu kuwa neno "standard" linatokana na Marekani kuviita vipimo vya Imperial (inch and foot), standard?
Kwa hiyo 4 ft 8 1⁄2 in gage, ambayo ndiyo inyotumika nchi hiyo ikapata jina standard gage wakati ile ya (3 ft 6 in) iliyoanzia Cape town ikapata jina cape gage ambayo ndiyo iliyochaguliwa kutumika TAZARA kwa kuwa Zambia teyari walikuwa wanayo ikiunganishwa na Zimbabwe mpaka Afrika ya kusini.
TAZARA ni tofauti kidogo kwa kuwa inajumuisha nchi mbili ila TRC serikali inahusina 100% na kwakweli wanajitahidi sana. Kuna ukarabati mkubwa unafanyika kuiongezea reli ubora hiyo (wanabadilisha reli na mataluma), hata ile ya Tanga ambayo ilikuwa imekufa kwa zaid ya miaka 10 inafufuliwa.Sasa TAZARA serikali imeshindwa kuiendesha. Hata ile ya kati ya TRC inasuasua. Muujiza gani mtafanya muweze kuiendesha hiyo ya umeme kama mradi mdogo tu wa BRT umewashinda?
Hata ukiletewa CHAWA wee sawa tuuirani* ilani
kwa kuwa mimi si mpiga ramli , basi , yeyote yule ambaye CCM itatuletea, mimi nitakuwa naye. lakin ingekuwa maamuzi yangu pekee yanafaa kumuweka Rais, basi ni SGR, bomba la mafuta ningechagua
Bado hujajibu swali langu. TRC haijiendeshi kwa faida. Kuna wakati treni zake zinaishiwa mafuta njiani! Ile ya kaskazini ilikufa kabisa..well sasa unasema mnafufua. Swali liko pale pale nininkitasuia hiyo sgr isiwe au ishindwe kujiendesha kama hizo nyingine? Miradi midogo tu kama BRT tumeona inatutoa jasho, au nayo itahamishiwa vote 20 ili isikaguliwe wala kuhojiwa?TAZARA ni tofauti kidogo kwa kuwa inajumuisha nchi mbili ila TRC serikali inahusina 100% na kwakweli wanajitahidi sana. Kuna ukarabati mkubwa unafanyika kuiongezea reli ubora hiyo (wanabadilisha reli na mataluma), hata ile ya Tanga ambayo ilikuwa imekufa kwa zaid ya miaka 10 inafufuliwa.
Matatizo ya TRC, BRT yametokana na sera mbovu za azimio la Zanzibar, wafanyakazi wa serikali kufanya biashara kwa kutumia nafasi zao kujitajirisha. TRC ilikufa kwa kuwa kuna watu walifanya jitihada kudhorotesha shirika ili biashara zao za malori zifaidike.Bado hujajibu swali langu. TRC haijiendeshi kwa faida. Kuna wakati treni zake zinaishiwa mafuta njiani! Ile ya kaskazini ilikufa kabisa..well sasa unasema mnafufua. Swali liko pale pale nininkitasuia hiyo sgr isiwe au ishindwe kujiendesha kama hizo nyingine? Miradi midogo tu kama BRT tumeona inatutoa jasho, au nayo itahamishiwa vote 20 ili isikaguliwe wala kuhojiwa?
whatever.Hujuia hata unachokiongea, tangu lini cape gauge (3 ft 6 in - TAZARA) ikaitwa standard gage (4 ft 8 1⁄2 in)?
Unafahamu kuwa neno "standard" linatokana na Marekani kuviita vipimo vya Imperial (inch and foot), standard?
Kwa hiyo 4 ft 8 1⁄2 in gage, ambayo ndiyo inyotumika nchi hiyo ikapata jina standard gage wakati ile ya (3 ft 6 in) iliyoanzia Cape town ikapata jina cape gage ambayo ndiyo iliyochaguliwa kutumika TAZARA kwa kuwa Zambia teyari walikuwa wanayo ikiunganishwa na Zimbabwe mpaka Afrika ya kusini.
tangia lini jiwe limeanza kuwajali wafanyabiashara!?kuwajali wafanyabiashara
Kwa wanasiasa wa hapa Tanzania for the next 30 years anayefaa kuongoza nchi yetu ni Magufuli tu, hao wengine ni waganga njaa. Angalia maendeleo anayoleta Magufuli toka aingie madarakani na ujinga walioufanya marais vinyago waliopita katika utawala wao wa miaka 30. With Magufuli, tutafika mbali sana ila hao vinyago uliowataja hapo juu watarudisha kule kule kwa marais wasanii waliopita.
Kwa taarifa yako deni la taifa ndani ya hii miaka minne lemepanda 1/3 dhidi ya marais wote wanne waliopita.
Matatizo ya TRC, BRT yametokana na sera mbovu za azimio la Zanzibar, wafanyakazi wa serikali kufanya biashara kwa kutumia nafasi zao kujitajirisha. TRC ilikufa kwa kuwa kuna watu walifanya jitihada kudhorotesha shirika ili biashara zao za malori zifaidike.
Uongozi wa sasa inachofanya ni kuondoa yale makosa yaliyofanyika miaka 30 iliyopita, hivyo tutegemee ufanisi kwenye reli zote zinazo milikiwa na serikali.
Hawa Warundi wana shida sana!Wewe mrundi uchaguzi wa Tanzania unakuhusu vipi?
Huu ni ubaguzi,mbona umemwacha Mh.Job Yustino Ndugai,muongeze kwenye list ya ccmNimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020..
nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani tukikosea kuchagua tunaumia wote ,
Ni Nani anayefaa kutuongoza Tena kwa miaka mongine mitano mbele uchaguzi wa 2020 na kwanini ? Nitatoa majina yanayojitokeza kugombea uraisi kwa vyama kadhaa Ila na wewe urataja wa kwako kama humu hawamo
CCM
1. John magufuli
2. Bernad membe
CHADEMA
1. Tundu Lissu
ACT
1. Zitto
2. Maalim Seif
CUF
1. Lipumba
Mitazamo wangu:
Mimi nàona JPM bado tunamhitaji Sana kwa miaka mingine mingi ijayo, kwakuwa pamoja na kwamba irani ya chama inasisitiza viwanda lakin kajitahidi kuboresha barabara, umeme , Huduma za kijamii, kuwajali wafanyabiashara , ufisadi umeisha, amefufua ndege , anatengeneza reli ya kisasa, maisha mazuri yanakuja tuwe wavumilivu , nk
Je , wewe una mtazamo gani ??
Still, nakushauri wewe na familia yako pamoja na watanzania wote kumpigia kura Magufuli. Kama uliweza vumilia ujinga uliofanywa na marais waliopita kwa miaka 30 basi utaweza funga mkanda kwa utawala huu bora chini ya Magufuli, sawa?