Amon Mahamba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 399
- 64
Kupunguza gharama kwa awamu ya 5 ni kurudisha Nyumba zote zilizouzwa kipindi cha awamu ya Tatu na kusababisha watumishi wa Serikali kupangashiwa Nyumba kwa gharama kubwa.
Tujadili kwa Manufaa ya Tanzania yetu
Tujadili kwa Manufaa ya Tanzania yetu