love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Habari za humu wadau? Mimi ni mgeni humu ila shida hainaga ugeni wala adabu na huwa shida zina miguu so leo zimenilembelea.
Naomba kujulishwa ilipo tuition nzr za wale walimu wa Ilboru sec, Ar sec, Kaloleni sec ambao wameshindwa kufundishia ktk shule walizopo kutokana na sheria mpy ya tuition hakuna na anayetaka asitumie majengo ya shule ya serikali. Mwanangu yupo Ailanga form 1 kaja likizo juzi j'mos mpk wafungue shule ni July 10 sasa hapa kati nahitaji aende tuition.
Asanteni kwa msaada mtakaonipa.
Kazi njema.
Naomba kujulishwa ilipo tuition nzr za wale walimu wa Ilboru sec, Ar sec, Kaloleni sec ambao wameshindwa kufundishia ktk shule walizopo kutokana na sheria mpy ya tuition hakuna na anayetaka asitumie majengo ya shule ya serikali. Mwanangu yupo Ailanga form 1 kaja likizo juzi j'mos mpk wafungue shule ni July 10 sasa hapa kati nahitaji aende tuition.
Asanteni kwa msaada mtakaonipa.
Kazi njema.
