Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Heloooow,wana michezo na wale wahuzunishwaji wa huyu bwana pep guadiola,anatutesa sana anatunyima amani na tim zetu zinazo chechemea basi hatuna budi kumuombea ili dua la kuku,atuwezi juwa anaweza akarudi mpka nafasi ya6 au ya 7,kwani mpira sikuzote tunajipa imani una dunda,katucharaza viboko wote big match pale,tuombe hili lisijirudie kwa hii man cty kuja kututembezea tena bakora kwa mara nyingine tena....tumsimike tu hakika dua litamfika.......