Tuichambue Toyota Cami/Terious Kid

Mbnative

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
332
77
Habari wakuu,

Mwenye uzoefu wa aina ya gari tajwa hapo juu,anipe 'ABC' natamani kumiliki lkn sijayajua vema ..
 
Habari wakuu,

Mwenye uzoefu wa aina ya gari tajwa hapo juu,anipe 'ABC' natamani kumiliki lkn sijayajua vema ..


Ungekuwa specific kwenye eneo gani maana hapa tutaandika pages and pages hutamaliza kuzisoma
 
Ungekuwa specific kwenye eneo gani maana hapa tutaandika pages and pages hutamaliza kuzisoma
Mkuu eneo lolote ambao litakupendeza ugusie ,itakua msaada mkubwa kwangu ..wengine watajazia
 
hako ka daihatsu ......daihatsu full ma problem nadhani unasikia passo 3cly inavysumbua ka toyota cami si.mbaya sana ila kama 4WD huitaji sana ni bora ukabeba carina cc 1500 kuliko daihatsu
 
Back
Top Bottom