johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #21
DC Albert MnaliHaijalishi kuna kitu au jitu au alimjibu vibaya akishampiga basi yote hayo hayana maana.
Sasa akimpga akiwa na ulinzi we wadhani wataingilia kuzuia?
Umesahau kuwa kuna kiongozi mkubwa nchi hii akiwa kagera enzi zake aliwahi watandima walimu bakora