Tufe tu Msumbiji, usitegemee msaada wa serikali yako!

Jembebutu

Member
Feb 14, 2017
88
225
Wanasema ni serikali sikivu,haki kwa wanyonge, uhusiano mzuri wa kimataifa na hatutaki kuharibu uhusuano wetu na Msumbiji. Kama ni kiherehere chako kwenda kuishi kwa watu pigwa tu hatusemi lolote. Bakwa,taifishwa,fukuzwa utajua wwe.
Ni kweli serikali imeshimdwa kuwatetea hawa watu? Ina maana tupo busy sana kujenga uchumi so hayo hatuyaoni. Hata kama walienda kinyemela, katiba yetu haiwatambui? Hatupaswi kuwatetea? Wao hawapo kwetu kinyemela? Yaani wanasema ni halali? Balozi kasema nini kuhusu hilo? Anyway ndio Tanzania yetu. Poleni ndugu zetu kutoka msumbiji. Mpaka sasa ni zaidi ya watanzania 5000 wamefukuzwa msumbiji na bado wanakuja. Eeh Mungu tusaidie,,,,
 
Hivi hao watz walipiga kura,
Hivi walipoondoka waliiaga serikali
Kama hawakutimiza vigezo dawa si kurudishwa?
 
Tuwaulize hao watanzania kwa nn wamefukuzwa majibu yanayotolewa na mtu anayeshinda ofisini siyo ya kuyapa kipaumbele
 
Nchi imeamua kuwatoa sadaka watu wake....hakuna wa kuwathamini........majibu mepesi kwa maswala mazito...... hatuna uchungu na watu wetu......watu wanalalamika wame nyanganywa mali zao wengine wamebakwa...viongozi wetu bado wapo kimya tu........

Nani atatuthamini kama sisi wenyewe hatuoni thamani yetu.........mambo muhimu kwa raia hatuoni.......nchi yetu imewabeba raia wangapi wa nchi nyingine wasio kua na vibali? Je nasisi tulipize kisasi au
 
Issue sio kuzamia. Hata kama hawakwenda kihalali issue ya kutetea raia ni ya serikali yetu. Ndio maana kuna utaratibu wa kubadilishana wafungwa. Na hii sio sababu ya kusema akipelekwa mfungwa nchini kwao hatopata adhabu laah! Ila atapata adhabu stahiki.
 
Back
Top Bottom